Ndugu wa babu kutoka Mbeya

Ndugu wa babu kutoka Mbeya

NATA

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2007
Posts
4,492
Reaction score
1,314
Kuna mabasi mawili yakiwa na familia inayojiita ya babu yanaelekea kwa babu yakitokea mbeya
madai yao hawendi kutibiwa wanaenda mtembelea ndugu yao.
Wengine wanadai ni mjomba wao..
Wengine binam yao...
Wengine babu yao...
Wengine kaka yao ..

Sasa sijui hili tamko la serikali linagusa hata ndugu wa babu?
Maana ndugu zangu hawa wanyakyu kwa extended family mh!
 
ahahhaha... Tangu lini serikali ikamkataza mtu kumtembelea ndugu yake?
 
Kuna mabasi mawili yakiwa na familia inyojiita ya babu yanaelekea kwa babu yakitokea mbeya
madai yao hawendi kutibiwa wanaenda mtembelea ndugu yao.
Wengine wanadai ni mjomba wao..
Wengine binam yao...
Wengine babu yao...
Wengine kaka yao ..

Sasa sijui hili tamko la serikali linagusa hata ndugu wa babu?
Maana ndugu zangu hawa wanyakyu kwa extended family mh!

Wanataka dawa hao..Si kweli kuwa wanaenda kumsalimia!..Wanyakyusa wanaendekeza sana nasaba za mbali, na kukiwa na msiba wanakaa mwezi matangani kwa mfiwa!
 
HTML:
Wanataka dawa hao..Si kweli kuwa wanaenda kumsalimia!..Wanyakyusa wanaendekeza sana nasaba za mbali, na kukiwa na msiba wanakaa mwezi matangani kwa mfiwa!

Lakini kumtembelea Ndugu yako hairuhusiwi?
Au kuna limit ya idadi ya watu kumtembelea ndugu yao kwa wakati mmoja?
 
Lakini kumtembelea Ndugu yako hairuhusiwi?
Au kuna limit ya idadi ya watu kumtembelea ndugu yao kwa wakati mmoja?

Weweeeee...Nani kakuita hapa wewe?....Hii haikuhusu bana!...acha tunaojua tujadili!..Iweje wamtembelee wakati amekuwa selebu?..Miaka yote hawakumuona?...
 
Kuna mabasi mawili yakiwa na familia inyojiita ya babu yanaelekea kwa babu yakitokea mbeya
madai yao hawendi kutibiwa wanaenda mtembelea ndugu yao.
Wengine wanadai ni mjomba wao..
Wengine binam yao...
Wengine babu yao...
Wengine kaka yao ..

Sasa sijui hili tamko la serikali linagusa hata ndugu wa babu?
Maana ndugu zangu hawa wanyakyu kwa extended family mh!

ha ha ha i mbafu sangu une, na mimi ngoja nijiite Mwaikomedi!!!!!!!!!!!!!!!
 
Weweeeee...Nani kakuita hapa wewe?....Hii haikuhusu bana!...acha tunaojua tujadili!..Iweje wamtembelee wakati amekuwa selebu?..Miaka yote hawakumuona?...

Amekua na jina kubwa so kwanini wasichukue ujiko?
 
ha ha ha i mbafu sangu une, na mimi ngoja nijiite Mwaikomedi!!!!!!!!!!!!!!!

Leo kulikuwa na ubishi mkubwa na ugonvi ndani ya bus, wangoni wanadai ni mngoni anaitwa sapila na wahehe wanadai ni mhehe anaitwa se sapile !
 
hao ni ndgu unafki hawana lolote kani siku zote walikua waaapy................???
 
tehetehe wanakwenda kusaidia kutafuna hiyo mia tano hahahahahahah
 
Leo kulikuwa na ubishi mkubwa na ugonvi ndani ya bus, wangoni wanadai ni mngoni anaitwa sapila na wahehe wanadai ni mhehe anaitwa se sapile !

Wameanza zile za kabila la watani zangu?..sasa hivi UKWERE dili bana!
 
Jamani wenye namba zao wani[atie niko arusha naelekea huko naitaji lift yao hapa nauli zao hatari naomben na mie niwe ndugu yake babu jaman
 
Jamani wenye namba zao wani[atie niko arusha naelekea huko naitaji lift yao hapa nauli zao hatari naomben na mie niwe ndugu yake babu jaman

Ndio wahi hilo bus bado halijapita hapo Arusha, nadhani wapo Iringa wanawakusanya watani wao
 
HTML:
Weweeeee...Nani kakuita hapa wewe?....Hii haikuhusu bana!...acha tunaojua tujadili!..Iweje wamtembelee wakati amekuwa selebu?..Miaka yote hawakumuona?...

Nilikuja kumtafuta wiselady na maty nikakumbana na hii, uniwie radhi nimekoma, ingawa hao wanyak, wana haki ya kumtembelea ndugu yao na polisi wasiwazuie maana hiyo ni haki yao ya kikatiba.
 
HTML:

Nilikuja kumtafuta wiselady na maty nikakumbana na hii, uniwie radhi nimekoma, ingawa hao wanyak, wana haki ya kumtembelea ndugu yao na polisi wasiwazuie maana hiyo ni haki yao ya kikatiba.

Hki ya kikatiba? Nyumba ya bau haina facilities za kutosha wamekurupuka
 
HTML:
Hki ya kikatiba? Nyumba ya bau haina facilities za kutosha wamekurupuka

Watakuwa wanalala nje, si wako na mabasi? halafu si watamsalimia ndugu yao kwa masaa kadhaa au siku moja tu halafu wataondoka kurudi Mbeya? sasa hizo facilities za nini?
 
HTML:

Watakuwa wanalala nje, si wako na mabasi? halafu si watamsalimia ndugu yao kwa masaa kadhaa au siku moja tu halafu wataondoka kurudi Mbeya? sasa hizo facilities za nini?

Hujaona watu wanafanya harusi ya masaa matatu wakaweka mobile toilets, mahema, viti , meza sahani, vijiko na glass?
 
Back
Top Bottom