Ndugu wa babu kutoka Mbeya

Ndugu wa babu kutoka Mbeya

mke wa babu kabila gani kama ni kabila naweza kukuta ni wa kwetu naomba msaada
 
Mimi naitwa mwaloliondo na Mwaisapile ni Mtoto wa Babu yangu Mwaserengeti ambaye ni Mtoto wa Mwangorongoro ndugu yake na Mwamikumi Binamu ya Malafyale Nsana Mtoto wa Kifufu Nkati.

''Ndaga Banyambla''
 
Hata Mkwere alipopata urais watu walianza kutumia jina lake, Hata Jamaa wa sehemu anayotoka Pm wa sasa zamani walikuwa hawajisemi kama wanatoka kule lakini cku hizi ukimuuliza tu haraka anakujibu Mimi tunatoka Mkoa mmoja na PM.
 
Mimi naitwa mwaloliondo na Mwaisapile ni Mtoto wa Babu yangu Mwaserengeti ambaye ni Mtoto wa Mwangorongoro ndugu yake na Mwamikumi Binamu ya Malafyale Nsana Mtoto wa Kifufu Nkati.

''Ndaga Banyambla''

Mtajinadi sana babu yupo imani zaidi.
Hachagui mweupe wala mweusi, mwislam wala mkristu ,
 
Hata Mkwere alipopata urais watu walianza kutumia jina lake, Hata Jamaa wa sehemu anayotoka Pm wa sasa zamani walikuwa hawajisemi kama wanatoka kule lakini cku hizi ukimuuliza tu haraka anakujibu Mimi tunatoka Mkoa mmoja na PM.

Mambo hayo!
 
kesha pata jina wanaanza kujigonga ndugu yangu kweli bongo uwe na k2
 
Hata Mkwere alipopata urais watu walianza kutumia jina lake, Hata Jamaa wa sehemu anayotoka Pm wa sasa zamani walikuwa hawajisemi kama wanatoka kule lakini cku hizi ukimuuliza tu haraka anakujibu Mimi tunatoka Mkoa mmoja na PM.

hahahaaa
hata mi kabla ya Obama, mambo ya kutajana makabila akaaa! Nani wakudaiwa residency permit.
 
hahaaaaaaa sasa babu ana muda kweli wa kuongea na familia yake??hivi huko loliondo network ya simu inashika kwa makampuni yote??maana walitakiwa wampigie simu kwanza!
Wanataka dawa hao..Si kweli kuwa wanaenda kumsalimia!..Wanyakyusa wanaendekeza sana nasaba za mbali, na kukiwa na msiba wanakaa mwezi matangani kwa mfiwa!
 
hahaaaaaaa sasa babu ana muda kweli wa kuongea na familia yake??hivi huko loliondo network ya simu inashika kwa makampuni yote??maana walitakiwa wampigie simu kwanza!

Wanyakyu hawatoi taarifa wakikutembelrea, ni wakijisikia tu utawaona hao
 
hata kenya walimfurahia obama kushinda lkn jamaa wala hafikilii ka nchi kake, .....sijui kwa babu kama atawapokea au watu wote kwake ni sawa
 
Back
Top Bottom