Chachasteven
JF-Expert Member
- Jul 4, 2014
- 1,878
- 1,849
Kwema??
Niende tu fasta, hii ishu binafsi naiona haijakaa poa. Kuna baadhi ya mambo yaachwe baina ya wana ndoa tu.
Ndugu wanayo haki ya kuuliza, sawa, lakini wakishapewa jibu wawe waelewa - Sio kila mtu anataka watoto na yuko tayari kuliongelea hili swala.
Maswali ya kuzaa kila iitwapo leo.. Sad!! Thing is, others enjoy life child free! Hata hivo, kwa kuwa unao uwezo wa kuzaa haimaanishi ni lazima uzae.
Pili, Tatizo la ugumba na tasa lipo kuliko unavyodhani. Ishu za mimba kuchoropoka zinatokea kuliko zinavyoongelewa! Ifike pahala ieleweke hivo.
Ndugu na marafiki acheni tabia ya kuuliza mtu anazaa lini. Tunaelewa mnajali, you have a good sense of caring yes ila don't feel so entitled to decide what is to be done in other people businesses!!
Kila mtu ni kwa ajili yake. Mungu tu ndio wa kwetu sote. Mtu akiona ni wakati sahii kwake kuwa na/kuongeza mtoto atazaa. Acheni mambo yenu! JIHESHIMUNI.
Niende tu fasta, hii ishu binafsi naiona haijakaa poa. Kuna baadhi ya mambo yaachwe baina ya wana ndoa tu.
Ndugu wanayo haki ya kuuliza, sawa, lakini wakishapewa jibu wawe waelewa - Sio kila mtu anataka watoto na yuko tayari kuliongelea hili swala.
Maswali ya kuzaa kila iitwapo leo.. Sad!! Thing is, others enjoy life child free! Hata hivo, kwa kuwa unao uwezo wa kuzaa haimaanishi ni lazima uzae.
Pili, Tatizo la ugumba na tasa lipo kuliko unavyodhani. Ishu za mimba kuchoropoka zinatokea kuliko zinavyoongelewa! Ifike pahala ieleweke hivo.
Ndugu na marafiki acheni tabia ya kuuliza mtu anazaa lini. Tunaelewa mnajali, you have a good sense of caring yes ila don't feel so entitled to decide what is to be done in other people businesses!!
Kila mtu ni kwa ajili yake. Mungu tu ndio wa kwetu sote. Mtu akiona ni wakati sahii kwake kuwa na/kuongeza mtoto atazaa. Acheni mambo yenu! JIHESHIMUNI.