Mtengwa II
JF-Expert Member
- Mar 13, 2017
- 954
- 1,578
Kama TCRA wangekua na kipimo cha mawazo yangu basi nisingepata nafasi ya kukoment hapa!! Upuuzi unapewa nafasi zaidi ya werevu!!
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.Spika kwa hili swali la uonevu la wafanyakazi anapaswa KUMKUMBUSHA DUNIA NI NJIA YA MAPITO kukataa swali lile lijibiwe ajue ameumiza kundi kubwa .
Shonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.
Mmh, sawa kabisa wapenzi wa Juventus walijisikia hivyo hivyo jana kwenye mechi na AC Roma walipofungwa 3-1 kabla ya half-time. Mchezo ulikuwa "boring" sana hafu ya pili walipofungwa magoli mawili tena ikawa 5-1.Kufatilia Bunge sahv ni kupoteza muda wako maana kuna upande mmoja wao ndy wanataka waongeee tu upande mwingine wakitaka kuchangia hawapewi nafasi
Ova
Mi navyojua baada ya maswali na majibu bunge live inakuwa off.Kwa hiyo ile marufuku ya bunge live iliondolewa na nani
Mnajinyoosha wenyewe kwa kukosa viongozi makini na kuwapa hao mliowarubuni kuhamia ccm ili muwaajiri. Naona mnawadekeza ili wawapende ninyi wazazi wa kambo! Shoza hana maajabu wala aibu! Na hupo supuika hali ya ugojwa wake inamhitaji kulazimisha furaha isiyokuwepo ili kumpunguzia stress!Mwache awanyooshee
hao waliuwa puppets wa CCM na wasaka vyeo. wamerudi nyumbani.Shonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.
Kwa akili yako ya kawaida tu CCM ikitoka nani akabidhiwe nchi DJ mbowe au la professor lipumba??Tanzania kuna bunge?
Ni shit tu.
Watanzania daini katiba mpya ccm itoke vinginevyo mtapata tabu sana