Spika wetu na nani? Talk of your ownSpika wetu anatakiwa ajiepushe na mizaha isiyokuwa na ulazima.
Ndugai ndio mkuu wetu wa mhimili uliobeba uwakilishi wa nchi nzima regardless of our political affiliation,gender, tribal bases, religious background etc, ni aibu na fedheha km ukipingana na ukweli huu.Spika wetu na nani? Talk of your own
Siasa za nchi hii ni njaa tu penye msosi watu ndio wanapokamatiwaShonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.
Akili za kuambiwa...Mbona TBC1 wanaonesha mubashara? Nani kakuvunga? Saa tatu kamili asubuhi TBC1 mubashara.Mbona nasikia vikao vya bunge vinahaririwa kabla ya kurushwa au wana wahariri wapinzani tu
Umeshawahi kuona maandishi yake yatafute humu anaandika kama Steve NyerereShonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.
Lipi? Mi najua tatizo lenu ni kukumbatia mafisadi wanaotemwa na chama Duke.Ndugai kakataa hoja za msingi kabisa za wafanyakazi wa nchi hii yeye anakazi ya kusifia maupuuzi.
Sisi tunalo tatizo kimsingi kwa kuwa na watu kama huyo jamaa
Kwa hiyo chadema umekubaliana nayo kuwa kuna majembe tosha ,LUMUMBA WEWE go back to school DudeShonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.
Kwa hiyo ile marufuku ya bunge live iliondolewa na naniAkili za kuambiwa...Mbona TBC1 wanaonesha mubashara? Nani kakuvunga? Saa tatu kamili asubuhi TBC1 mubashara.
Sijui ila mimi nikiwa home huwa naangalia.Saa tatu kamili asubuhi.Leo nilimsikia Premier akijibu yale maswali ya papo kwa papo.Siyapendi maswali haya!Kwa hiyo ile marufuku ya bunge live iliondolewa na nani
masalia ya slaa mna shida sana,eti shonza ni jembe
yani mtu awe ccm halafu ufikirie ana nia njema na watanzania!!!!!
Leo November 16 2017 ilikua ni mara ya kwanza kwa Juliana Shonza kusimama Bungeni na kujibu maswali ya Wabunge tangu kuteuliwa na Rais kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Spika Ndugai alionesha kukubaliana na uwezo wake wa kujibu maswali huku akishangiliwa kisha akasema “Aaah! Rafiki zangu kushoto wamenunaaa!!”
Leo November 16 2017 ilikua ni mara ya kwanza kwa Juliana Shonza kusimama Bungeni na kujibu maswali ya Wabunge tangu kuteuliwa na Rais kuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Spika Ndugai alionesha kukubaliana na uwezo wake wa kujibu maswali huku akishangiliwa kisha akasema “Aaah! Rafiki zangu kushoto wamenunaaa!!”
Na yanàtiwa mipiniKama ni majembe yatakua ya kuchimbia kaburi