Eeeeeeh
Nifundishe kiswahili mpinzani ujuaye swahili. naona siku si nyingi mtanijoin kwenye kushangilia lori.
kuna mahakama ya mafisadi kwa nini rais wako hawafikishi kule hasa hao wa cdm unaowasema sababu sio wa chama chake!!! huna jibu la hili swali,kwa hiyo acha kuropokaKwa hiyo kwa upuuzi wako unaamini Chadema ndio kwenye majembe yenye nia nzuri na watanzania...
Chadema na ccm hakuna tofauti.... tofauti yake ni kwamba mwingine ameshika madaraka mwingi anatafuta madaraka...
CCM na Chadema kwa sasa wanazidiana tu idadi ya mafisadi ila kote wapo.!
Walishindwa?? Ssa mtu Kma shonza ni kiongozi BAVICHA Ila anakosoa chama kwenye media badala ya kupeleka kwenye uongozi wa chama ulitaka chadema wafanyeje??Shonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.
Kama huyu ndiye jembe, basiShonja na mwenzie Mwampamba, majembe bora kabisa yaliyozaliwa Chadema......ila Chadema wakashindwa kuwakuza na kuwalea sababu ya kumlinda Mbowe.
Hongera Shonza ila jitahidi kujirekebisha kwenye lugha mama....
inakuathiri sana kwenye baadhi ya matamshi ya kiswahili fasaha.