Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,209
- Thread starter
- #21
Kimsingi mzee Butiku amesema tue na ujasiri wa kukubali makosa ili tuwe na ujasiri vile vile wawa kuyasahihisha.Swala la kina Mdee nimeona tangazo la Kipindi cha Dakika 45 (ITV) likiongelewa na Mzee Butiku, natamani niangalie nione busara zake Mzee juu ya sakata hili. Mzee Msekwa aliliongelea ila Bwana yule kaendelea kushupaza shingo yako..