Kwa kuwa rais amesema tozo ziangaliwe upya maana yake ni kwamba wabunge walipitisha kitu cha ajabu. Waliharibu kazi. Sasa adhabu yao ni nini? Warudishe posho.
Ndugai aliwatisha wabunge kwamba wasipopitisha bajeti rais atalivunja bunge. Aondoke!
Na hapa ndipo umuhimu wa katiba mpya unaonekana. Maana kwa namna walivyo haribu kazi ktk hizi tozo tungesaini petition na wote wangepoteza ubunge.
Ndugai aliwatisha wabunge kwamba wasipopitisha bajeti rais atalivunja bunge. Aondoke!
Na hapa ndipo umuhimu wa katiba mpya unaonekana. Maana kwa namna walivyo haribu kazi ktk hizi tozo tungesaini petition na wote wangepoteza ubunge.