white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,321
- 13,288
Ccm, wakiamua kuwa kufikia mwezi wa 2, Ndugai asiwe spika, hakuna wa kuwazuia, sasa hao covid 19, ccm ndio inawalinda, ikiwaamulia nao, ni siku moja tu, na Ndugai ndio mlinzi wao,Uviko-19 mbona walishafutwa uanachama.