Huyu kwenye line ya moto anafuata
Haipo amani bali kwa ncha ya upanga. Mama alidai eti ncha ya ulimi 😁😁.
Hii bagosha!
Makombora ya Mama yamesikika. Kwa mustakabala wa amani ya kudumu, ni muda sasa kambi hii pendwa ikafanya onyesho lao la biashara.
Kwa ujumla panapo nia kambi ya Mama haitoboi.