Ndoto mbaya zinazoleta usumbufu ndotoni

Ndoto mbaya zinazoleta usumbufu ndotoni

Halafu kuanzia nianze maombi makali ya kutumia damu ya yesu.. Yule jitu la kuniingilia halina nafasi kwani limekuja nikalipiga sana kwa kweli.
Namshukuru Mungu.
 
Halafu kuanzia nianze maombi makali ya kutumia damu ya yesu.. Yule jitu la kuniingilia halina nafasi kwani limekuja nikalipiga sana kwa kweli.
Namshukuru Mungu.
Hallelujah.......
 
Ukiamini ktk wokovu huku ukimtanguliza Roho Mtakatifu mbele na huku ukiamini nguvu ya damu ya Yesu hakuna nguvu za giza zitakazokutawala
 
Ukiweza Nitumie sms kwenye 0620226628 ili niweze kumuelekeza vizuri
 
Mkuu hapo tafuta msaada wa kiimani i.e kama ni Mkristo nenda kwa mchungaji na kama ni Muslim mtafute Sheikh akusaidie
 
Ndoto ni milango ya ulimwengu wa Kiroho.Kwa ndoto unaweza kukutana na ulimwengu wa giza au nuru.Ulimwengu wa kiroho unaweza kumiliki maisha yako kupitia ndoto.Samahani nitatumia biblia kufafanua,Mfano katika biblia malaika wa Bwana alimtokea Yusufu ktk ndoto kumpa warning amuondoe Yesu bethlehem ssb herode alitaka kumuua.Mathayo 2:13.Ndoto ni channel ya Mungu kuwasiliana na wanadamu.Hivyo hivyo shetani hutumia milango hiyo hiyo kukutana na binadamu.Kwa maelezo ya ndoto yako ulimwengu wa giza unakutesa kupitia ndoto.Ushauri wangu tumia damu ya Yesu,Damu ya Yesu itakuokoa kwenye hili tatizo,haijalishi una imani ipi biblia inasema ukimkiri Yesu kwa kinywa kuwa ni Bwana na kwamba Yeye ni mwana wa Mungu utaokoka.Warumi 10:9 Mkiri Yesu na umpokee moyoni mwako ili akupiganie hii vita hutaweza peke yako.Ukishakiri Yesu ataokoa nafsi yako then anza kufanya maombi na kujifunika kwa damu ya Yesu.Tafuta watumishi wanaoweza kukuombea mpaka upokee deliverance.Pia kama unaweza kupata Lion of Judah oil ya Prophet Shepherd Bushiri au TB Joshua apply kabla hujalala.

Sexual dreams demons can destroy your life completely,kama hujaoa unaweza usioe na hakuna relationship inawork,na kila ukitazama hutaelewa umekosea wapi sbb sio wewe ni mapepo yanafight kuuwa destiny yako.Na hata kama umeoa mahusiano yanakuwa magumu mno hakuna furaha na ukitafuta sababu hamzioni,kuachana ndio inakuwa solution.These are the worst demons on earth,Yesu tu ndio anaweza kukusaidia.
Pole sana mkuu. Unatakiwa kwenda kanisani kuombewa maana utakuwa unanyemelewa na mapepo
 
Halafu kuanzia nianze maombi makali ya kutumia damu ya yesu.. Yule jitu la kuniingilia halina nafasi kwani limekuja nikalipiga sana kwa kweli.
Namshukuru Mungu.
[emoji120] [emoji120]

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom