Ndoto ni milango ya ulimwengu wa Kiroho.Kwa ndoto unaweza kukutana na ulimwengu wa giza au nuru.Ulimwengu wa kiroho unaweza kumiliki maisha yako kupitia ndoto.Samahani nitatumia biblia kufafanua,Mfano katika biblia malaika wa Bwana alimtokea Yusufu ktk ndoto kumpa warning amuondoe Yesu bethlehem ssb herode alitaka kumuua.Mathayo 2:13.Ndoto ni channel ya Mungu kuwasiliana na wanadamu.Hivyo hivyo shetani hutumia milango hiyo hiyo kukutana na binadamu.Kwa maelezo ya ndoto yako ulimwengu wa giza unakutesa kupitia ndoto.Ushauri wangu tumia damu ya Yesu,Damu ya Yesu itakuokoa kwenye hili tatizo,haijalishi una imani ipi biblia inasema ukimkiri Yesu kwa kinywa kuwa ni Bwana na kwamba Yeye ni mwana wa Mungu utaokoka.Warumi 10:9 Mkiri Yesu na umpokee moyoni mwako ili akupiganie hii vita hutaweza peke yako.Ukishakiri Yesu ataokoa nafsi yako then anza kufanya maombi na kujifunika kwa damu ya Yesu.Tafuta watumishi wanaoweza kukuombea mpaka upokee deliverance.Pia kama unaweza kupata Lion of Judah oil ya Prophet Shepherd Bushiri au TB Joshua apply kabla hujalala.
Sexual dreams demons can destroy your life completely,kama hujaoa unaweza usioe na hakuna relationship inawork,na kila ukitazama hutaelewa umekosea wapi sbb sio wewe ni mapepo yanafight kuuwa destiny yako.Na hata kama umeoa mahusiano yanakuwa magumu mno hakuna furaha na ukitafuta sababu hamzioni,kuachana ndio inakuwa solution.These are the worst demons on earth,Yesu tu ndio anaweza kukusaidia.