Ni kweli mkuu.Wala hauhitaji kuomba samahani kwa kunukuu Bible kwa sababu ni kwa faida yake mwenyewe...
Ni kweli mkuu.Wala hauhitaji kuomba samahani kwa kunukuu Bible kwa sababu ni kwa faida yake mwenyewe...
Badilisha ndoto mkuu
Asante kwa comments zenu.Badilisha ndoto mkuu
Kwenye kuota unaingiliwa.. Umeshawahi hesabu marinda yako ukakuta yamitimia (yaani marinda 16, 8chini 8 juu). Maana usijesema ni ndoto kumbe kunajamaa anakufanyia ziara
Nimepanga serikalini mkuu. Naishi quartersNingekwambia kitu ila naona uvivu kuandika,,, vipi unaishi nyumba za kupanga;???
Pole ila Mungu ni mwaminifu sana. Nna hii pdf ya somo la ndoto uipitie utapata pa kuanzia.Nina shida km ya mleta mada yaaani....!
Aiseee barikiwa sana mkuu. Nakushukuru kwa kuchangia mada.Kwenye kuota unaingiliwa.. Umeshawahi hesabu marinda yako ukakuta yamitimia (yaani marinda 16, 8chini 8 juu). Maana usijesema ni ndoto kumbe kunajamaa anakufanyia ziara
Sahihi kabisa mkuu.Wala hauhitaji kuomba samahani kwa kunukuu Bible kwa sababu ni kwa faida yake mwenyewe...
Shukrani mkuuSali sana ndugu yangu,na kuwa na imani moja.
Amazing mkuu asante na ushauri wako nitaufuata nimekuelewa vizuri sanaNdoto ni milango ya ulimwengu wa Kiroho.Kwa ndoto unaweza kukutana na ulimwengu wa giza au nuru.Ulimwengu wa kiroho unaweza kumiliki maisha yako kupitia ndoto.Samahani nitatumia biblia kufafanua,Mfano katika biblia malaika wa Bwana alimtokea Yusufu ktk ndoto kumpa warning amuondoe Yesu bethlehem ssb herode alitaka kumuua.Mathayo 2:13.Ndoto ni channel ya Mungu kuwasiliana na wanadamu.Hivyo hivyo shetani hutumia milango hiyo hiyo kukutana na binadamu.Kwa maelezo ya ndoto yako ulimwengu wa giza unakutesa kupitia ndoto.Ushauri wangu tumia damu ya Yesu,Damu ya Yesu itakuokoa kwenye hili tatizo,haijalishi una imani ipi biblia inasema ukimkiri Yesu kwa kinywa kuwa ni Bwana na kwamba Yeye ni mwana wa Mungu utaokoka.Warumi 10:9 Mkiri Yesu na umpokee moyoni mwako ili akupiganie hii vita hutaweza peke yako.Ukishakiri Yesu ataokoa nafsi yako then anza kufanya maombi na kujifunika kwa damu ya Yesu.Tafuta watumishi wanaoweza kukuombea mpaka upokee deliverance.Pia kama unaweza kupata Lion of Judah oil ya Prophet Shepherd Bushiri au TB Joshua apply kabla hujalala.
Sexual dreams demons can destroy your life completely,kama hujaoa unaweza usioe na hakuna relationship inawork,na kila ukitazama hutaelewa umekosea wapi sbb sio wewe ni mapepo yanafight kuuwa destiny yako.Na hata kama umeoa mahusiano yanakuwa magumu mno hakuna furaha na ukitafuta sababu hamzioni,kuachana ndio inakuwa solution.These are the worst demons on earth,Yesu tu ndio anaweza kukusaidia.
Pole sana mkuu, binafsi nimejifunza somo la ndoto recently kutoka kwa watumishi kadhaa. Kwako hapo nnaona una vita kubwa. A war that you should not joke with. Nimeona kuna mdau ameku refer kwa video za Mwl mwakasege, well. Lkn nadhan hazipo directly related to your case. Hebu zama YouTube Mcheki mtumishi mmoja anaitwa Dr Daniel Olukoya ameelezea vizuri sana kuhusu ndoto. Just search "Dealing with evil dreams seed by Olukoya" sikiliza itakufungua macho kirahisi.. barikiwa.Wasalaam,
Mwenyezi Mungu ametuamsha salama kabisa wakuu.
Nina changamoto ya ndoto zinazonisumbua sana, zipo za aina tofauti 5 isipokuja hii itakuja hii. Zipo hivi:
Naota nafanya mapenzi na jitu nisiloifahamu. Hapa linaweza nibadilisha niwe mwanaume lenyewe linakuwa la kike au linakuwa la kiume linaniingilia.
Naota nakimbizwa na N'gombe mkuubwa mweusi mwenye pembe Kali sana.. Huwa nakimbia sana na linaponikosa ghafla hubadilika na kuwa binadamu na kuanza kunirushia mishale mingi kwa haraka ila mungu mwema halijawahi kunichoma na mshale.
Naota nataka kung'atwa na nyuki...! Lakini pia naota kuna majoka yananikimbiza ila moja ya majoka haya hujificha sehemu/ kama kujibanza ili lisionekane.
Naota nimetekwa..hii ndio niliyoiota hata leo! Hapa huwa nakuwa na wakati mgumu sana wa kukabiliana na mtekaji.. Nimekimbia sana nimeomba wapita njia msaada lakini Mzee mmoja alisema nastahili kutekwa, .. Nilijaribu kumkimbia mtekaji na pikipiki ila kabla sijapanda pikipiki nae alichukua yake akaanza kumfukuza bodaboda niliyemkodi.. Tumesumbuana sana ila mwisho kuna wanaume nilikutana nao na mmoja wao akanishika mkono yule mtekaji akakubali kushindwa.
Wakuu hii ni hali y kawaida au ni mini... Hiizi ndoto zimekuwa na muda mrefu kama miaka minne .. Ila miaka ya hivi karibuni linakuwa sugu.
Je wewe unaota ndoto za aina moja tu? Nakaribisha maoni na ushauri nifanyeje ili nisiote tena?
Pole sana. Kutokana na ndoto zako hapo kuna nguvu za giza unazopigana nazo.Kipengele cha Kuota harusi na misiba na pia na kula minyama hadi naamka nikiwa kichefuchefu nimekisahau hapo juu .
Endelea nakuomba[emoji120] [emoji120]Pole sana. Kutokana na ndoto zako hapo kuna nguvu za giza unazopigana nazo.
Usikimbilie kwa waganga watakutapeli, hakuna suluhu kwa waganga zaidi ya kutuliza tu.
Tafuta kanisa lolote lenye nguvu za Mungu. Usikimbilie kwa manabii kwa sbb sasa hawana tofauti na waganga wa kienyeji
Omba mchungaji akuongoze sala ya toba na uanze kusali (siyo kusali uwepo kanisani hapana hata nyumba inabid usali)
Kabla ya kulala Muombe YESU KRISTO WA NAZALETI ALIYE HAI akusaidie.
Kuhusu ndoto huwa ni jambo la kweli ktk ulimwengu wa kiroho. Nakumbuka kuna sehemu nilienda, hiyo sehemu bila kusali, narudia tena BILA KUSALI ILI YESU ANILINDE nilikuwa naota ndoto mbaya kila siku. Ila nilipoanza kusali hali ilitulia kbsa.
Ndoto ambayo siwezi kuisahau ni hii.
Niliota nipo na rafiki yangu tunaenda sehemu fulani huku tunapiga story( ni sawa na ww nikuambie unisindikie sehemu fulani) basi tumeondoka tunaenda sehemu hiyo ina mandhari ya kijiji
NITAENDELEA
Asante mkuu wangu.Ndoto ni ujumbe /taarifa ya yale kinachoendelea katika maisha yako katika ulimwengu was kiroho ambayo inaweza kuwa na adhari katika maisha yako halisi kama hautachukua hatua.
Ndoto pia ni mlango ambao unaweza kutumiwa na Mungu au miungu kuingilia maisha yako kwa wema ikiwa ni Mungu, kwa ubaya ikiwa ni shetani.Mlango huo unafunguliwa kama IPO mikataba\maagano kati yako\wazazi wako\mababu na Mungu au miungu/shetani
Vyanzo vya ndoto ni:
1.Mungu kusema na wewe
2.shetani
3.shughuli nyingi za Siku husika
4.arthi unapolala ikiwa kuna mazindiko au madhabahu
Aina ya ndoto unazoota inaonekana sio nzuri ni za shetani MF nyoka anakufukuza INA maana adui anataka ukose utulivu/focus kufanikisha maono yako.
Cha kufanya
Tubu kama we ni mkristo tumia damu ya Yesu kunyunyiza katika maeneo yote ambayo unawaona hao maadui.
Nyunyuza damu ya yesu kwa imani ulitakaze lango LA ndoto ukizuia ndoto zote mbaya zisipenye kuna kwako.
Ref.kutoka12:12,22
Damu ya Yesu ndo damu pekee nyenye nguvu kwenye ufalme was Mungu na dhidi ya shetani.
Ukishakiri Yesu ataokoa nafsi yako then anza kufanya maombi na kujifunika kwa damu ya Yesu.Tafuta watumishi wanaoweza kukuombea mpaka upokee deliverance.Pia kama unaweza kupata Lion of Judah oil ya Prophet Shepherd Bushiri au TB Joshua apply kabla hujalala.
SawaEndelea nakuomba[emoji120] [emoji120]
mkuu unazijua hadithi za alfu lela ulela?Asee mkuu una majini kashkash...afu mixer sasa