Nianze na damu kuwa blanket,Ndio Damu ya Yesu ni blanket letu ndio maana aliondoka kuja duniani kutufia msalabani.Wana waisrael waliambiwa waweke damu mlangoni ili Malaika atakapo piga wazaliwa wa kwanza wapate protection.Tunafanya hivyo hivyo leo hii ila sisi hatuchinji ndama tunatumia damu ya Yesu.Ukisoma Ufunuo12:11 Nao wakamshinda kwa damu ya Mwanakondoo na kwa neno la ushuhuda wao.Tunamshinda shetani kwa damu ya Yesu.Hivi unajua hata unapoomba huwezi kuingia patakatifu bila Damu yes that's how serious the blood is.Waebrania10:19.Unapookoka nafsi yako inapatanishwa na Mungu kupitia damu.Damu ya Yesu inakuhesabia wewe haki si kwa sababu unaomba sana hapana ni kwa neema tu.Efeso 2:16.Damu ya Yesu ni kila kitu.
Swali la pili kuhusu manabii,,Yesu alitumia matope na mate kumponya kipofu siku ya sabato,mafarisayo walipambana naye sana sababu hawakujali kipofu ameona ila waliona ametenda dhambi kuponya siku ya sabato.Napenda sana Kipofu alivyojibu akawaambia kwamba "Kwamba yeye ni mwenye dhambi sijui,najua neno moja,kuwa mimi nalikuwa kipofu na sasa naona".Unapowahukumu hawa watumishi ukae ukielewa milions na milions ya watu wamepokea uponyaji wa mambo magumu ambayo hayawezi kuelezeka kwa sayansi yoyote duniani na wamepata break through kutumia hizo anointing materials.Walikuwa vipofu ila sasa wanaona.Walikuwa wamefungwa ila sasa wamefunguliwa.Hakuna mtu atakaye mfundisha Mungu namna ya kuwadeliver watu wake,anaweza kutumia matope,anointing oil or anything.
Don't be too quick to judge,jipe nafasi kuelewa hii huduma ya manabii kwanza.Manabii wanapingwa sana kwasababu Mungu amefungua macho yao wanaona past na future na hilo ni tatizo kwa watu wengi. Mungu anatumia vinywa vyao,na hawakujichagua Mungu amewachagua kwa neema sio kwa matendo yao.If there is false prophets there must be true Prophets somewhere.Unawajuaje?Yesu alipoondoka alituachia msaidizi right?Muulize msaidizi akuoneshe na ukimuuliza hakikisha umetubu juu ya hukumu na chuki iliyoko moyoni mwako juu ya manabii wake ili uweze kumsikia otherwise utajisikia mwenyewe ukiendelea kuwahukumu.
Kuhusu anointing oil kuuzwa niambie unatengenezaje anointing mamilioni,anointing oil nyingi inatokana na mmea wa olive due to prophetic meaning behind olives,Na kwa wanaojua olive oil is very expensive oil,huwezi hata kuafford kutumia kwa matumizi ya kila siku.Na ni nchi chache zinalima olive okay then fikiria gharama ya production,processing ,packaging bado hujafikiria logistics and distribution at the same time you don't want them to be rich ili wafanye wenyewe or reveal to you how to be rich yourself.Hebu fikiria mwenyewe na injili lazima isonge mbele kufuatana na ratiba ya Mungu haiwezi kusubiri.Just think about it.