Ndoo yako ya kuogea unaisafisha mara ngapi?

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,190
4,103
Jamani kuna watu wanajisahau sana mtu unakuta ndoo ya kiogea mpaka imekua na rangi isiyoeleweka.

Unakuta mwingine ndio anadekia hiyo hiyo na haioshi mpaka inaweka ukungu, anaoga tu haoshi wala nini. Tukumhuke usafi wa ndoo za kuogea jamani.

1620126243122.png



 
Jamani kuna watu wanajisahau sana mtu unakuta ndoo ya kiogea mpaka imekua na rangi isiyoeleweka.

Unakuta mwingine ndio anadekia hiyo hiyo na haioshi mpaka inaweka ukungu, anaoga tu haoshi wala nini. Tukumhuke usafi wa ndoo za kuogea jamani.


Halafu mtu akipata fungus atatafuta mchawi.
 
Pale inapobidi kusafishwa kwa wiki mara mbili sio mbaya
 
Kuna mpangaji mmoja ni kada wa CHADEMA huwa nachekigi ndoo yake ya kuogea na huwa na tabia ya kuacha nje ya bafu aisee.

Ila si mlaumu yeye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom