Halafu mtu akipata fungus atatafuta mchawi.Jamani kuna watu wanajisahau sana mtu unakuta ndoo ya kiogea mpaka imekua na rangi isiyoeleweka.
Unakuta mwingine ndio anadekia hiyo hiyo na haioshi mpaka inaweka ukungu, anaoga tu haoshi wala nini. Tukumhuke usafi wa ndoo za kuogea jamani.
Tunatofautiana style ya maisha na jinsi tuishivyo mwingine anaogea mtoni hata hiyo ndoo hana. Mwingine sufuria🤣🤣 besen au mtungi😅 Wengine wanatumia showerKwa nini uogee ndoo yani?
Kwa nini uogee ndoo yani?
Kwa hiyo waenda bathroom. Na extra h2o water?Kila nimalizapo kuoga huwa naisafisha.
Unawezaje kuogea kwenye ndoo
Bado kuna watu wanaogea ndoo zama hizi?
Hiki kwa show za kwenye shower mnaweza ng'oa vioo...View attachment 1776935
Tusio tumia ndoo tuna comment wapi?