Nimeamini kweli kua uyaone!! sasa uchafu unatoka wapi mle kwenye ndoo ya kuogea jamani!!! wakati inatumika kwa maji Masafi??? kopo lisafi!! ndo maana mnaoga mara7 kwa siku duuu!! ndoo ya kuogea kwa sababu mko chemba sirini...Kila nimalizapo kuoga huwa naisafisha.