Ndondocha na utajiri

Ndondocha na utajiri

73f789a71a64fe5b0dcffb64af40c9a8.jpg
 
mmmmh hatar sana hii...ni bora umasikin kuliko shirki ya namna hii...tujiepushe na haya mambo wapendwa cha msingi ni kufanya kazi kwa bidii na kumuogopa mungu kwani kudhulumu nafsi ya mwingine ili upate utajir hii ni laana iliyotukuka kabisa yaani..
 
Ningependa kupata definition ya 'ndondocha'. Yaani ndondocha ni mtunwa au mtu aliyezubaa,au nini. Ningependa kupata definition ili nijue kama inafanana na kitu chochote ambacho nimewahi kusoma.
Ni mtu anakuwa yupo yupo tu kama punguani si punguani, hana maamuzi binafsi hawezi fanya lolote ni kama kalemaa akili ndo maana wengi huwekewa wasaidizi karibu muda wote
 
Siku moja nilimsikia Mdogo wangu akiongea na simu na akawa anamwelekeza rafiki yake aliyempeleka kwa waganga kua yuko kwenye tafakuri amtoe nani?
Mama au bro (mimi)
Pum*bu zilipanda tumboni siku 6
Kwa Bahati mpaka sasa hakuna mtu katolewa
 
9227030c8fa6ec578697b23b723374a2.jpg


Kwanza niseme wazi kabisa kwamba hili nimeshindwa kulipatia majibu ya kutosha hata baada ya kujipa muda wa kutosha kulitafit.

Binafsi nilishawahi kumuona walau ndondocha mmoja mwenye asili ya kiasia pale buguruni kwa tajiri mmoja wa magari ya kusafirisha mizigo..huyo ndondocha alikuwa mama mzazi wa huyo tajiri na alikuwa kawekewa wafanyakazi wawili wa kumwangalia kwa kila kitu...alikuwa anafungiwa chumbani muda wote na alikuja kufariki mwaka 2004 na jamaa kufilisika kabisa mwaka 2005.

Hizi habari za ndondocha zinahusishwa pia na wakinga na watani zangu wachaga japo kwa kiasi kidogo na wabondei na makabila mengine kwa uchache.
Nimeshindwa kupata jibu la hakika inakuwaje kumfanya mtu ndondocha kisha wewe upate utajiri...!!!yani mwingine ateseke aishi kifungoni huku wewe kupitia yeye uishi maisha ya ufahari sifa mafanikio heshima na umaarufu???

Utajiri wa ndondocha hauna tofauti na utajiri wa kuua lazima uishi kwenye maagano na viapo na masharti mengi..! Unapenda utajiri sawa unapenda mafanikio sahihi kabisa..! Lakini angalia unapata utajiri wa aina gani ili mwisho wa siku tusikuone unafilisika ghafla na kuwa na mikosi kibao.

Utajiri wa ndondocha unatesa wengi sana kwakuwa huyu akifa inabidi fasta uandae mwingine wa ku take cover na kumbuka wote lazima wawe ndugu wa karibu
Mimi pia hili ni moja kati ya maswali mengi ambayo sijayapatiaga majibu

Sielewagi uhususiano wa haya mambo ya kufanya mtu ndondocha,msukule na kutoana kafara vinasaidiaje mtu kupata utajiri

Labda ntajaribu Google
 
Hakuna utajiri unaokosa masharti tatizo yasiwe mabaya....
Masharti ya nidhamu na kujali muda na kila sent sio mabaya
Bora Nikalime xx... Ila Kuna mambo Mengi sanaaa Behind mpk mtu anaamua kwenda Kwa mganga Kuchukua Utajiri wa namna Hiyo
 
Bora Nikalime xx... Ila Kuna mambo Mengi sanaaa Behind mpk mtu anaamua kwenda Kwa mganga Kuchukua Utajiri wa namna Hiyo
Kuna watu ni aggressive kwenye hili wanachojali ni kupata utajiri wa haraka bila kujali utapatikanaje na madhara yake ya baadae
 
9227030c8fa6ec578697b23b723374a2.jpg


Kwanza niseme wazi kabisa kwamba hili nimeshindwa kulipatia majibu ya kutosha hata baada ya kujipa muda wa kutosha kulitafit.

Binafsi nilishawahi kumuona walau ndondocha mmoja mwenye asili ya kiasia pale buguruni kwa tajiri mmoja wa magari ya kusafirisha mizigo..huyo ndondocha alikuwa mama mzazi wa huyo tajiri na alikuwa kawekewa wafanyakazi wawili wa kumwangalia kwa kila kitu...alikuwa anafungiwa chumbani muda wote na alikuja kufariki mwaka 2004 na jamaa kufilisika kabisa mwaka 2005.

Hizi habari za ndondocha zinahusishwa pia na wakinga na watani zangu wachaga japo kwa kiasi kidogo na wabondei na makabila mengine kwa uchache.
Nimeshindwa kupata jibu la hakika inakuwaje kumfanya mtu ndondocha kisha wewe upate utajiri...!!!yani mwingine ateseke aishi kifungoni huku wewe kupitia yeye uishi maisha ya ufahari sifa mafanikio heshima na umaarufu???

Utajiri wa ndondocha hauna tofauti na utajiri wa kuua lazima uishi kwenye maagano na viapo na masharti mengi..! Unapenda utajiri sawa unapenda mafanikio sahihi kabisa..! Lakini angalia unapata utajiri wa aina gani ili mwisho wa siku tusikuone unafilisika ghafla na kuwa na mikosi kibao.

Utajiri wa ndondocha unatesa wengi sana kwakuwa huyu akifa inabidi fasta uandae mwingine wa ku take cover na kumbuka wote lazima wawe ndugu wa karibu
Hata anamfanya nduguye kuwa ndondocha nae pia ni ndondocha...unaharibu akili ya mtu afu unapasua kichwa jinsi ya kupata pesa! Haribu afu ukae tuu bila shuguli ukiamka uwe unakuta mlundo wa pesa mchagoni wewe kazi yako ni kula bata hadi kuku washangaeee
 
Huyo ni msukule sio ndondocha, kwakuwa ndondocha hahitajiki kufa na hufanywa ndondocha na ndugu yake wakati msukule ni mambo ya wachawi wanaweza kumchukua yeyote
Hapa umenijibu Mshana Jr swali ambalo nililokuwa najiuliza, tofauti ya ndondocha na msukule. Ila mkuu Kama unaweza fafanua zaidi tafadhari, Mshana Jr.
 
Back
Top Bottom