Ndondocha na utajiri

Ndondocha na utajiri

Kuna watu ni aggressive kwenye hili wanachojali ni kupata utajiri wa haraka bila kujali utapatikanaje na madhara yake ya baadae
Mi kuna m2 aliniambia na Ni Tajiri Kweli kwamba yy atafanya Chochote kile Ili mradi tu masharti yasiseme Kuwa aue Ndugu au Mtu wake wa karibu..
 
Hata anamfanya nduguye kuwa ndondocha nae pia ni ndondocha...unaharibu akili ya mtu afu unapasua kichwa jinsi ya kupata pesa! Haribu afu ukae tuu bila shuguli ukiamka uwe unakuta mlundo wa pesa mchagoni wewe kazi yako ni kula bata hadi kuku washangaeee
Wala Hawapasui kichwa Kuzitafuta kama Unavyofikiria.. Mfano Unakuta mtu anamiliki tuka La ujenzi.. wewe unapata wateja 10 kwa Siku yeye Anapata wateja 100 kwa Siku Na wanachoenda nunua na kwako kipo

Mwenzako anapeleka Benki mil 10 kwa siku ww Huna Cha kupeleka...mwisho wa siku unaenda Kumuuliz anafanya nn unaingia kwenye Mtego
 
Mi kuna m2 aliniambia na Ni Tajiri Kweli kwamba yy atafanya Chochote kile Ili mradi tu masharti yasiseme Kuwa aue Ndugu au Mtu wake wa karibu..

Na wasikutafune kiboga pia....na uwe free kuachana na hayo mambo anytime ukiamua.

Hapo hata mimi sina neno. Tehe
 
Nlpokuwa mdogo uncle wangu mmoja alkuwa anapenda kushinda kwa mganga siku moja akawa anapiga story kuhusu afanywe tajiri lkn lazma amtoe MTU wa karibu kafara( mama ake ambaye ni Bibi yangu) loh nlienda kumsemea akasemwa sana na mamake nilionekana mmbeya ila atleast hakutimiza azma yake
 
Nlpokuwa mdogo uncle wangu mmoja alkuwa anapenda kushinda kwa mganga siku moja akawa anapiga story kuhusu afanywe tajiri lkn lazma amtoe MTU wa karibu kafara( mama ake ambaye ni Bibi yangu) loh nlienda kumsemea akasemwa sana na mamake nilionekana mmbeya ila atleast hakutimiza azma yake
Mmh

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom