Utajiri na kutoa sadaka

Utajiri na kutoa sadaka

Wazalendo_Tz

Member
Joined
Jul 7, 2026
Posts
17
Reaction score
25
Ukweli ni upi kuhusu utajiri na kutoa sadaka za mali kwa kuwapa mayatima au watu wenye mahitaji maalumu nakumbuka niliwahi Mfata tajiri mmoja wa viwanda hapa nchi nikamuambia jinsi naendesha biashara yangu lakini sioni mafanikio akaniambia toa sadaka halafu usitangaze utafanikiwa nikabaki nashangaa maan naona matajiri wengine wakitoa sadaka wanatangaza na kuwarekodi nikikumbuka kutoa ni kupungukiwa je ukweli ni upi wakuu
 
Ukweli ni upi kuhusu utajiri na kutoa sadaka za mali kwa kuwapa mayatima au watu wenye mahitaji maalumu nakumbuka niliwahi Mfata tajiri mmoja wa viwanda hapa nnchi nikamuambia jinsi naendesha biashara yangu lakin sion mafanikio akaniambia toa sadaka halafu usitangaze utafanikiwa nikabaki nashangaa maan naona matajiri wengine wakitoa sadaka wanatangaza na kuwarekodi nikikumbuka kutoa ni kupungukiwa je ukweli ni upi wakuu
Sidhani kama kuna mtu anajua ukweli wewe inatakiwa kufanya jambo ambalobunaliona ni sahihi na lakumpendeza Mungu wako.
 
Fanya kazi

Elon musk hajapeleka rocket angani kwa kuchinja kuku mweusi.

Kama ingekuwa kutoa sadaka pesa mnazopeleka kwa wachungaji wenu feki na mashehe ubwabwa, mbuzu mnazochinja kwa waganga basi mngekuwa nyie ni bara lenye utajiri mkubwa ila ndio mnaongoza kwa umasikini wa kupitiliza
 
Kwenye ulimwengu wa kiroho kutoa sadaka ni miongoni mwao misingi mikubwa ya mafanikio

Rejea amri ya mwenyezi Mungu juu ya kutoa kafara kwa nabii Ibrahim kwa mwanae

Sasa basi shida sio kutoa sadaka shida ni kutoa sadaka na iwafikie walengwa

Epuka kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada mana watumishi ndio wanufaika namba moja

Muangalie Saidi lugumi anatoa misaada direct kwa kukaa na yatima

Nini nataka kukuambia
Ni kwamba toa sadaka lakini jitahidi sana kutoa kafara ya kuchinja wanyama wakubwa

Hapo ndipo kwenye siri ya utajiri
Wafanya biashara wanachinja

Wamiliki wa mabus wanachinja sana tu
Bakhressa pia wanachinja
Mkuu mafanikio yapo kwenye kafara

Ila usitoe kafara ya miguu miwili
 
Fanya kazi

Elon musk hajapeleka rocket angani kwa kuchinja kuku mweusi.

Kama ingekuwa kutoa sadaka pesa mnazopeleka kwa wachungaji wenu feki na mashehe ubwabwa, mbuzu mnazochinja kwa waganga basi mngekuwa nyie ni bara lenye utajiri mkubwa ila ndio mnaongoza kwa umasikini wa kupitiliza
Point yako ni ipi mkuu
 
Kwenye ulimwengu wa kiroho kutoa sadaka ni miongoni mwao misingi mikubwa ya mafanikio

Rejea amri ya mwenyezi Mungu juu ya kutoa kafara kwa nabii Ibrahim kwa mwanae

Sasa basi shida sio kutoa sadaka shida ni kutoa sadaka na iwafikie walengwa

Epuka kutoa sadaka kwenye nyumba za ibada mana watumishi ndio wanufaika namba moja

Muangalie Saidi lugumi anatoa misaada direct kwa kukaa na yatima

Nini nataka kukuambia
Ni kwamba toa sadaka lakini jitahidi sana kutoa kafara ya kuchinja wanyama wakubwa

Hapo ndipo kwenye siri ya utajiri
Wafanya biashara wanachinja

Wamiliki wa mabus wanachinja sana tu
Bakhressa pia wanachinja
Mkuu mafanikio yapo kwenye kafara

Ila usitoe kafara ya miguu miwili
Miguuu miwili unamaanisha kanga roo au kuku
 
ipo hv charity work ni daraja linalounganisha physical world na emotional world, sadaka zako(material) ukzpelekwa kwa wny shda au uhtaj (emotional) vile jnc wanajskia inatuma mitetemo yng nguvu sana kwnd spiritual world huko ndo inaenda kuunlock archetype znazohusiana na mibaraka(expansion)
 
Kutoa kafara ya viumbe ili kupata mafanikio ni kanuni ya kimungu

Kutoa misaada kwa watoto yatima ni sawa na vizuri ila kwa mujibu wa uislamu Yatima hatakiwi kukaa sehemu yoyote kama orphanage centre inatakiwa kukaa nao
 
Wanasema mkono unao toa ndio mkono unao barikiawa. Sasa nahisi unatoa wapi na kwa nani na kwa dhamiri ipi na ili iweje 😁😁
 
Back
Top Bottom