Ndondocha na utajiri

Ndondocha na utajiri

Me nazijua, ni pm, Nina kitabu flani kinaitwa Myths and Legends of the Bantu, ni cha urithi toka kwa padre wa kwanza wa kiafrika jimbo la Mtwara, ila kiliandikwa na wamisionari wa kizungu kwa tafiti zao. Kipo wazi kwa mambo mengi hasa hili la ndondocha. Huwezi kupata kokote kitabu hicho kwani hata teknolojia yao ya maandishi yanaonesha hawakuwa na soft copy.
Nitaomba na mimi nipate copy
 
mashan Jr kuna taarifa kuwa baadhi ya watu wanauza ndondocha na wengine wananunua kuna ukweli hapa, kuna hatari ipi endapo ndondocha hatatoka katika kifungo chake kwa yule mmiliki , ni kweli kuwa ndondocha anahitaji kuwa na mwenza wa kufunya naye mpenzi kuna hatari yeyote ile kwa family kuingilia kimwili na ndondocha endapo hakikosa mwenza wake.
 
mashan Jr kuna taarifa kuwa baadhi ya watu wanauza ndondocha na wengine wananunua kuna ukweli hapa, kuna hatari ipi endapo ndondocha hatatoka katika kifungo chake kwa yule mmiliki , ni kweli kuwa ndondocha anahitaji kuwa na mwenza wa kufunya naye mpenzi kuna hatari yeyote ile kwa family kuingilia kimwili na ndondocha endapo hakikosa mwenza wake.
Hili ni jipya kwangu na laweza kuwa hybrid kwenye myth nzima ya undondocha...nijuavyo mimi ndondocha lazima awe ndugu kinyume cha hapo huyo ni msukule na kwa taarifa yako ukishakuwa ndondocha huwezi kuwa na nguvu ya kufanya mapenzi hivyo hapo kuna walakini. .. la sivyo kungekuwa na kizazi cha ndondocha tupu na watu wangezidi kupeta na utajiri
 
OK, ila volume yake ni kubwa pia. Maana ime cover tamaduni za wabantu wa kusini mwa jangwa la sahara, ila suala la ndondocha walilifanyia tafiti haswa kutoka kwa wayao.
Haina shida hobby yangu ni kusoma vitu vipya
 
Hili ni jipya kwangu na laweza kuwa hybrid kwenye myth nzima ya undondocha...nijuavyo mimi ndondocha lazima awe ndugu kinyume cha hapo huyo ni msukule na kwa taarifa yako ukishakuwa ndondocha huwezi kuwa na nguvu ya kufanya mapenzi hivyo hapo kuna walakini. .. la sivyo kungekuwa na kizazi cha ndondocha tupu na watu wangezidi kupeta na utajiri
Ama kweli kitalaamu mtu huyu akishakuwa ndondocha anakuwa idiotic hajitambui hajui baya na zuri yaan anakuwa kwenye mental retardation.....so hawezi kukumbuka mapenzi.
 
Hii dunia kuna watu shwain kweli,kuna jamaa alitoka kwao njombe MAKETE huko akaja pale Ilala mtaa wa lindi na shaulimoyo kwa nduguze akiwa safi kabisa,ndugu yake alikua anamiliki baa,miezi kazaa nikawa namuona anabadilika taratibu kuwa wa ovyo mpaka akawa chizi,kwa kua ile ndo ilikua njia yangu ya kwenda shule kwa hyo mamjua tangu anakuja,tangu yule bwana awe chizi baa ya nduguye ikashamiri ikakua,nikaja kuskia nduguze ndo wamemtenda ili wafanikiwe,tukawa tunamuita tu chizi MAKETE,Mi ndugu siwaamini kabisa.
 
Me nazijua, ni pm, Nina kitabu flani kinaitwa Myths and Legends of the Bantu, ni cha urithi toka kwa padre wa kwanza wa kiafrika jimbo la Mtwara, ila kiliandikwa na wamisionari wa kizungu kwa tafiti zao. Kipo wazi kwa mambo mengi hasa hili la ndondocha. Huwezi kupata kokote kitabu hicho kwani hata teknolojia yao ya maandishi yanaonesha hawakuwa na soft copy.

Kina page ngapi mkuu huwezi ukaki scan tukapata maarifa yasije kupotea kabisa
 
9227030c8fa6ec578697b23b723374a2.jpg


Kwanza niseme wazi kabisa kwamba hili nimeshindwa kulipatia majibu ya kutosha hata baada ya kujipa muda wa kutosha kulitafit.

Binafsi nilishawahi kumuona walau ndondocha mmoja mwenye asili ya kiasia pale buguruni kwa tajiri mmoja wa magari ya kusafirisha mizigo..huyo ndondocha alikuwa mama mzazi wa huyo tajiri na alikuwa kawekewa wafanyakazi wawili wa kumwangalia kwa kila kitu...alikuwa anafungiwa chumbani muda wote na alikuja kufariki mwaka 2004 na jamaa kufilisika kabisa mwaka 2005.

Hizi habari za ndondocha zinahusishwa pia na wakinga na watani zangu wachaga japo kwa kiasi kidogo na wabondei na makabila mengine kwa uchache.
Nimeshindwa kupata jibu la hakika inakuwaje kumfanya mtu ndondocha kisha wewe upate utajiri...!!!yani mwingine ateseke aishi kifungoni huku wewe kupitia yeye uishi maisha ya ufahari sifa mafanikio heshima na umaarufu???

Utajiri wa ndondocha hauna tofauti na utajiri wa kuua lazima uishi kwenye maagano na viapo na masharti mengi..! Unapenda utajiri sawa unapenda mafanikio sahihi kabisa..! Lakini angalia unapata utajiri wa aina gani ili mwisho wa siku tusikuone unafilisika ghafla na kuwa na mikosi kibao.

Utajiri wa ndondocha unatesa wengi sana kwakuwa huyu akifa inabidi fasta uandae mwingine wa ku take cover na kumbuka wote lazima wawe ndugu wa karibu
73f789a71a64fe5b0dcffb64af40c9a8.jpg
 
mashana Jr nimerudi tena kuna swali nimekumbuka ili MTU hawe ndondocha lazima afariki wakati wamemzika uku kwetu maeneo ya pwana kuna Siku arubain au kuna arubain endapo wafiwa wakiwa na Wasiwasi na kifo ukutaa kufunya arubain inasemekana kuwa watu walio muua watashindwa kukamilisha lengo la kuwa ndondocha kuna ukweli wowote
 
Hii dunia kuna watu shwain kweli,kuna jamaa alitoka kwao njombe MAKETE huko akaja pale Ilala mtaa wa lindi na shaulimoyo kwa nduguze akiwa safi kabisa,ndugu yake alikua anamiliki baa,miezi kazaa nikawa namuona anabadilika taratibu kuwa wa ovyo mpaka akawa chizi,kwa kua ile ndo ilikua njia yangu ya kwenda shule kwa hyo mamjua tangu anakuja,tangu yule bwana awe chizi baa ya nduguye ikashamiri ikakua,nikaja kuskia nduguze ndo wamemtenda ili wafanikiwe,tukawa tunamuita tu chizi MAKETE,Mi ndugu siwaamini kabisa.
Na ukitaka kujua wamemtengeneza kamwe hawampekeki hospital
 
mashana Jr nimerudi tena kuna swali nimekumbuka ili MTU hawe ndondocha lazima afariki wakati wamemzika uku kwetu maeneo ya pwana kuna Siku arubain au kuna arubain endapo wafiwa wakiwa na Wasiwasi na kifo ukutaa kufunya arubain inasemekana kuwa watu walio muua watashindwa kukamilisha lengo la kuwa ndondocha kuna ukweli wowote
Huyo ni msukule sio ndondocha, kwakuwa ndondocha hahitajiki kufa na hufanywa ndondocha na ndugu yake wakati msukule ni mambo ya wachawi wanaweza kumchukua yeyote
 
Haya mambo yapo sana unakuta kama mganga wake hajatoa sharti la undondocha basi yule mmiliki anaweza kuwa na kidonda hakiponi hicho na kikianza kutoa maji na harufu mbaya hapo mkwanja unatiririka kweli kama si hivyo utakuta kafuga bonge la nyoka hilo na kuna watu maalumu ya kulihudumia so nadhani kuna aina tofauti za maagano achilia mbali kukutana mara moja kimwili na mzazi wako kwa mwaka.
 
Back
Top Bottom