Ndoa zina matukio jamani

Hata wenye pesa zao na wanatoka out kila siku wanayo matatizo mengi ya kutosha.

Yaani watu mkishaoana tu mnaanza kuwa maadui sijui tatizo nini.
Wa kwangu hajawahi kuwa adui sema mboga moja inakinai sana mkuu, papa moja inachosha sanaaa🤣
 
Umeonaa sasa...pamoja na yoteee....sometimes tunahitaji Jambo jipyaa😂😂😂
 
Daah mkuu umeongea ukweli asee, hakuna watu wanaokwaza kama wanaosema hiyo kauli eti kumbe mwenzangu una mambo yako moyoni huyasemi, mara sijui una gubu na visirani

Yani mtu anajua kabisa anachokifanya anakukosea makusudi na anajua kabisa umekwazika, ila anataka upotezee tu kana kwamba wewe una moyo wa chuma vile na huwa wanatumia hiyo kauli kama defensive mechanism, kwamba yeye anayekukosea hana tatizo ila wewe unayeweka vitu moyoni ndio una tatizo

Na mara nyingi watu wa aina hiyo, ni wale ambao akikukosea hataki umchane ukweli kama amekukosea vinginevyo atachukia na kukuita mlalamishi, na atasema una gubu na visirani hivyo anataka ukaushe na umfurahie hata kama ni kinafiki tu
 
Tafuta mtu anajielewa kidogo amalize mambo kimyakimya🤣🤣
😂😂😂😂Kaka nimekuelewaa...kikubwaa nizingatiee neno"kimyakimya"..😂😂...huyu mwanaumee atanikata masikio
 
Halafu hilo group ndio linalo pendwa na linaongoza kwa kutengeneza single mother.

Yaani hilo group ulilo litaja na waume walio kwenye ndoa, wanaongoza kupendwa na dada zetu siku hizi na hawa shauriku mpaka wayakute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…