Na wanaharamu watakuwa wengi sana kwa kufunika...siku wakijaa hao utalipuka Sana ...maajabu sasa unageuziwa kibao kwamba "kumbe mwenzangu Una Mambo moyoni husemi, sipendi kama unaumia si uniambie Mimi ni binadamu nakosea" kumbe anajua afanyalo 😂😂😂...huu ndo utapeli wa hisia, bwana dronedrake kaliona hiliMaisha hayataki userious sana 😂
Sometimes mtu anakudanganya na unaona kabisa ila unafunika kombe mwanaharamu apite 😂😂
Wao wameamua kuweka shida zao hadharani, singles wanakufa na tai shingoni. Again, a life alone is a lonely life...Inategemea.
Ila cha ajabu wanaoongoza kwa kulalamika ni upande wa pili🤔🤔🤔🤔
Umeona eeh wakat anadanganya alikuwa anajua kabisa aliongea uongo 😂😂😂alafu badae anataka amaniNa wanaharamu watakuwa wengine kwa kufunika...siku wakijaa hao utalipuka Sana ...maajabu sasa unageuziwa kibao kwamba "kumbe mwenzangu Una Mambo moyoni husemi, sipendi kama unaumia si uniambie Mimi ni binadamu nakosea" kumbe anajua afanyalo 😂😂😂...huu ndo utapeli wa hisia, bwana dronedrake kaliona hili
Maisha ya kuwa mwenyewe ni mabaya, yamejaa upweke na usipoangalia unapata sonona. Ona sasa unajifungia mwenyewe ghetto for a week, si ugonjwa tayari huo?Hakuna sehemu nafutahia kuwepo km geto naweza nisitoke hata wiki maana nakua nafanya mambo mengi ya maendeleo yangu kuliko sehemu yyt
Kwenu sitaki 🤣🤣
Kumbe uko tayari, haya njoo chagua kitunguu kimoja kwetu. Kaka zangu wanataka mke sasa![]()
Kumbe kukaa ndani sana Ni tatizoMaisha ya kuwa mwenyewe ni mabaya, yamejaa upweke na usipoangalia unapata sonona. Ona sasa unajifungia mwenyewe ghetto for a week, si ugonjwa tayari huo?
Huwa hivyo mara zote na apologizes za uongo nyingi SanaUmeona eeh wakat anadanganya alikuwa anajua kabisa aliongea uongo 😂😂😂alafu badae anataka amani
Unajua innovation zote duniania almost zimeanzia geto or garage ambako mtu anafanya different testing and ideas sio kukaa geto unaangalia juakali utakua mwehu,great thinkers watanielewa.Maisha ya kuwa mwenyewe ni mabaya, yamejaa upweke na usipoangalia unapata sonona. Ona sasa unajifungia mwenyewe ghetto for a week, si ugonjwa tayari huo?
Ugonjwa how?? Mgonjwa huyo anaekaa week nzima bila kutoka nje.Maisha ya kuwa mwenyewe ni mabaya, yamejaa upweke na usipoangalia unapata sonona. Ona sasa unajifungia mwenyewe ghetto for a week, si ugonjwa tayari huo?
Auntie good morning!!Tena nyie ndo mnakimbia asubuhi 😂😂😂vitunguu vya karne hii viko updated Yani ukikishika tu kilio😂😂😂
Sasa unajifungia ndani week nzima alone upo sawa kweli?Kumbe kukaa ndani sana Ni tatizo
U see it depends how you control your life as long as you’re happy with what you do that’s life hata mm ikichoka akili naenda mazoezini ya mpira or Jim or hata kwenda kusikiliza music or beach as long as your happy that’llUgonjwa how?? Mgonjwa huyo anaekaa week nzima bila kutoka nje.
Hapa niko nafanya re arrangment na usafi ndani huku nasikiliza music. Nikimaliza naagiza boda chips, nakula, nalala.
Nikiamka naenda kuzurula na wana 🍷
Maisha simple yan.. kuna mshikaji anaishi na pisi yake 😂 kuna siku wamekorofishana, mshikaji ni mwanangu sana. Akanambia tutoke… imefika night namwambia kila mtu akalale, anasema ye harudi sahiyo, hataki kelele na pisi yake.
Poleni kwa wote wanaoishi na vitunguu

Ndoa ni kutia mkono gizani asikuambie mtuNikopoa auntieAuntie good morning!!
Nikiamua langu dear nina roho ambayo huna nadhani 🤣
Unataka kila mtu aangalie hili swala kwa mtazamo wako!?, Sio kila mtu anakuwa mpweke ghetto. Ukiwa mwenyewe unaweza kuamua nini kiku entertain, iwe TV, usingizi, kuchat hata kumuita mpenzi aje muwe wote baadae aondoke. Ila ukiishi na kiumbe kingine huwezi kuamua nini kikupe furaha, ukiangalia TV anabadili chanel, ukinunua tv nyingine ukaweka chumbani gharama na lawama, ukiamua ulale upumzike hata masaa mawili kila mara anafungua mlango anapitapita tu Ili mradi tu. Ukiwa mkimya tatizo,ukiongea ongea ni tatizo. Ndo maana watu wengine tunathamini sana kuishi peke yetu, hatutaki kelele na kupangiana maisha. Na wewe usiyependa kuishi mwenyewe upo sahihi, ila usilazimishe kila mtu afikirie kama wewe. Mlioamua kuishi na wanawake ishi nao, na tulioamua kuishi wenyewe mtuache. Tusipangiane namna ya kuishi. Kila mtu ashinde mechi zake.Maisha ya kuwa mwenyewe ni mabaya, yamejaa upweke na usipoangalia unapata sonona. Ona sasa unajifungia mwenyewe ghetto for a week, si ugonjwa tayari huo?
Vitunguu ukimaanisha nini?Ugonjwa how?? Mgonjwa huyo anaekaa week nzima bila kutoka nje.
Hapa niko nafanya re arrangment na usafi ndani huku nasikiliza music. Nikimaliza naagiza boda chips, nakula, nalala.
Nikiamka naenda kuzurula na wana 🍷
Maisha simple yan.. kuna mshikaji anaishi na pisi yake 😂 kuna siku wamekorofishana, mshikaji ni mwanangu sana. Akanambia tutoke… imefika night namwambia kila mtu akalale, anasema ye harudi sahiyo, hataki kelele na pisi yake.
Poleni kwa wote wanaoishi na vitunguu
Ila Depal wewe unaonekana mwanamke mmoja mwamba sana 😂😂...nilivyosoma Ile comment unasafiri usiku na BM 😂😂Ugonjwa how?? Mgonjwa huyo anaekaa week nzima bila kutoka nje.
Hapa niko nafanya re arrangment na usafi ndani huku nasikiliza music. Nikimaliza naagiza boda chips, nakula, nalala.
Nikiamka naenda kuzurula na wana 🍷
Maisha simple yan.. kuna mshikaji anaishi na pisi yake 😂 kuna siku wamekorofishana, mshikaji ni mwanangu sana. Akanambia tutoke… imefika night namwambia kila mtu akalale, anasema ye harudi sahiyo, hataki kelele na pisi yake.
Poleni kwa wote wanaoishi na vitunguu
Kama wiki ni kweli shida ila Kwa siku mojamoja na mm muhanga movement za nje zinahesabikaSasa unajifungia ndani week nzima alone upo sawa kweli?
Hata hivyo kurudi home jioni na kukuta familia inakusubiri ni jambo jema kuliko yote.
Kataa upweke mkuu!
Huu uzi bila kisa chochote hamna kipya,kwahyo tunaomba uelezee kilichokukuta tukusaidieHaswa za kizazi hiki.
Usaliti umekuwa kitu cha kawaida, magomvi kama yote, wengi wanafeki furaha ila ndani kunafurukuta. Matukio ya kutisha, najiuliza walewale waliokuwa wanacheza romantic songs sijui blues kwa hisia na upendo ndo hawahawa leo wanakimbizana na mapanga?
Wamechafukwa hawatamani kuonana tena, ndo hawa kila mmoja kamchoka mwenzake? Wanapigana wengine wanauana.
Ndoa imekuwa kifungo cha maumivu, nimeshuhudia wengi wakiteseka kihisia, kimwili, kiroho nk
Ndoa sio salama tena imekuwa njia ya kujipatia magonjwa ya kila aina, ukitaka magonjwa yote ingia kwenye ndoa na malaya asiejua kuridhika wala kutulia. Ndoa zimegeuka tanzi na mtego.
Hata ukiweka vigezo 100 lakini ukweli watu hubadilika kutokana ma situations zinazotokea maishani. Mpaka baba mchungaji anachepuka. Ukiyumba kiuchumi kidogo tu mwenzio kakukimbia. Ukipata hata ajali ukilala tu kitandani mwenzio anaomba talaka ama anahamia kwa mwingine.
UKITAKA KUINGIA KWENYE NDOA JIPANGE NA UWE NA ROHO NGUMU!