Ndoa zina matukio jamani

Mazoea yana tabu sana,
Fanyeni usafi kama kabla ya ndoa Mbona mlikua Smart sana no smell sasa ivi ni nini imetokea?
 
Ndoa ni tamu sana, acha kupotosha vijana wadogo waziogope.
Sijawapotosha mkuu..ila naongelea matukio yake nnayoshuhudia
Hata hii inaweza pelekea kupata idea how to make it last and sweet
Kila kitu kina pande mbili nzuri na mbaya..
 
Utafiti wangu umegundua wanawake wengi ambao hamjaolewa mna mtazamo hasi kuhusu ndoa.
Kwakweli !
Though mi Nina mtizamo chanyq.
Nimegundua wengi waliokosea kwenye hili eneo wanataka kuaminisha watu kuwa ndoa ni mbaya,kitu ambacho sio sawa
Kuna watu hawajui shida kwenye ndoa zao!
Lkn pia changamoto kawaida watu mmelelewa ,mmezaliwa tofauti unategemea nn?
Mungu kwanza,upendo, uvumilivu...basi
 
You said well bro. Humo humo tunaishi na tutafika,No way
 
Mwambie inawezekana anaumwa. Kushindwa kumwambia ni udhaifu na humtendei haki.
ukiiangalia tu, unaona kabisa ukiigusa tu lazma utibue hali ya hewa na kua nzito mithili ya dalili ya korona,

acheni hizo bana,
Lips zimeshine ile mbaya, zinang'aa kama malaika,
akuhemee sasa akiwa karibu yako heeeheeeee......
naona aibu kusema.....

sitaki kusema kuzidi ya hapo, haya ni baadhi ya matukio muhimu yanayopatikana kwenye manyumba mengi ya watu na wanateseka nayo taratibu....


Mbayaaeee.......
 
Achane hizo kwani una wake wangapi wewe? Anayenuka ni huyo wa kwako...
 
Mkeo kabaki mpweke now πŸ˜‚πŸ˜‚
sasa si mngetoka wote? Nyie si mwili mmoja?
Sasa natokaje na wife kwa maswala ya kazi mkuu, yeye yupo home nikienda nakuta chakula safi kaniandalia, naamua nianzie wapi na weekend hii🀣🀣. Haya single na upweke wake anaona bora ale chips na pepsi yake siku iende, single anaona bora aende beach akakae peke yake huko kupunguza stress, guys ndoa pamoja na mapungufu yake yote ni tam, tena tamuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…