ZENTEL
Member
- Sep 16, 2011
- 30
- 6
nataka kujua ivi mfano umemuona mmeo au mkeo ametoka mwa m/ke au m/me gest na mtu unaemjua kabisa ana h.i.v ...............na ukagoma kulala nae kwa madai ya kwamba mpaka mpime..........mkipima mwenzio ana hiv we huna je mtaachana au mtaendelea kuwa mtu na mumewe? Utakubali upate hiv na ww kwa kua amri ya dini mpaka mmoja anakufa?