Mahakama zisituingilie ndoa za kikristo, ni kifo ama usaliti ziwe sababu za kuvunja ndoa ama kuoa tena, adhabu ya kukiuka iwe kifungo cha maisha

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
 
Mahakama tafadhalini msituingilie ndoa zetu za kikristo, kuvunjika kwa ndoa ama mtu kuoa/kuolewa tena iwe tu panapotokea kifo ama usaliti, liwe ni kosa la jinai kukiuka na adhabu iwe kifungo cha maisha.

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
Sasa hapo kwenye kifungo cha maisha....ni maneno yako....sio ukristo tena.
 
Sasa mnakuja huku kwa msajili kuchukua vyeti vya kazi gani?.

Sisi Serikali ndiyo wenye mamlaka ya NDOA ndiyo maana siyo kila mchungaji anafungisha NDOA ni mpaka tumtambue, so cool down utakuwa hujui lolote.
 
Naimani utakuwa umezimua mkuu😆😆😆😆😆😆.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Jiulize,mbona yesu alimwokoa yule mama aliyekamatwa akizini ili asiye kwa kupigwa na mawe🤔🤔🤔.
Tunaheshimu mawazo yako mkuu,lakini usiifokee MAHAKAMA kwa maana walimwengu hamnaga dogo.
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela

Wazungu walitudanganya sana katika hili,wanawake wanaolewa na kuachwa kwa kadri inayofaa.
 
Ndoa tumekubaliana kufunga ya kikristo na tumekula kiapo ni mpaka kifo ama moja akisaliti, iweje tukimbilie mahakamani kuzivunja kwa sababu zilizo nje ya kiapo ?

Nashangaa mahakama zinaingilia sana mambo ya dini za watu badala ya kuyaachia makanisa kusolve ndoa za kikristo.

Sheria za kanisani ni kwamba ndoa haivunjiki isipokuwa tu penye ushahidi usio na shaka kwamba pana usaliti, nje ya hapo ni mpaka kifo kiwatenganishe, FULLSTOP !!

Haijalishi mke wako hapendi ndugu zako, mme anakushushia kipigo kikali, kunyimwa unyumba mwaka mzima, ulevi uliopitiliza, n.k. ndoa ya kikristo HAIVUNJIKI !!

Kwa wanaotaka ndoa za kuvunjia mahakamani waoane ndoa za mahakamani.

Mahakama ziheshimu taratibu zetu zitupishe, watu wamekuwa wa kukimbilia mahakamani kitu ambacho kikristo hakiruhusiwi,.

Mtu akiwa ndani ya ndoa ya kikristo iwe ni mpaka asalitiwe ama kifo, ikibainika ana ndoa kaifunga kijanja kuwe na kifungo cha maisha jela
Umesema mwenyewe mnakimbilia mahakamani! Unazilaumu vipi mahakama?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Kama mtu atahitaji kuvunjia ndoa mahakamani aende kufungia ndoa yake mahakamani.
Ndipo dunia ilipo sasa , ni bora ndoa za kisheria / mkataba mtaishi kwa amani na kuishi kulingana na makubaliano mliyowekeana, kuliko ndoa za makanisani zenye kauli mbiu ya kuvumiliana, kufa na kuzikana na blah blah kibao zisizo na maana.
 
Hujanielewa!!.....weka kifungu kuhusu kifungo cha maisha.
Marko 10
6 Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.

7 Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;

8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.

9 Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.

Kuna mambo ya KANISA kama migogoro ya uongozi wa KANISA ikipelekwa mahakamani Huwa wanakataa kutoa maamuzi Kwa hoja wahusika wakamalizie hukohuko mahakamani. Nadhani ni wakati mahakama haipaswi kuvunja ndoa ya kikristo pia.
 
Sasa mnakuja huku kwa msajili kuchukua vyeti vya kazi gani?.

Sisi Serikali ndiyo wenye mamlaka ya NDOA ndiyo maana siyo kila mchungaji anafungisha NDOA no mpaka tumtambue, so cool down utakuwa hujui lolote.
Sio kweli

Kanisa katolki.kuna vyeti vya kanisa vya ndoa vya Kikristo
padri kufungisha ndoa hahitaji kikaratasi chochote Cha msajili wa ndoa.Ndoa ni sakramenti ya kanisa kutoa hiyo sakramenti hivyo padri hahitaji kibali Cha serikali kutoa hiyo sakramenti
 
Back
Top Bottom