Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,730
- 29,265
Toxic relation is always addictive. Dopamine ikiwa imezid kupita kiasi ndio ile unajikuta una unalia kwa ajili ya mwanamke wkt yeye hajali chochote.
Nilishawahi kupitia toxic relation. Baada ya kuchomoka huko niliapa haitokaa nimshikilie mwanamke tena .. akitaka kuondoka powa tu, asipotaka powa.
Nilishawahi kupitia toxic relation. Baada ya kuchomoka huko niliapa haitokaa nimshikilie mwanamke tena .. akitaka kuondoka powa tu, asipotaka powa.
JAMAA HATAKI KUAMINI KUWA MKEWE AMEMUUMIZA!
so ANATAFUTA JUSTIFICATIONS!
ili ajipe amani
-kuwa well, hata hivyo uhusiano wetu ulianza akiwa ametoka kwenye break up
-well, nilimuoa akiwa mdogo so anafidia ujana
-well, hafanyi kwa ajili ya pesa anajimudu kipato
-well, nampenda na nahisi ana sababu ya kufanya hayo!
KUUUUUUMBAFFF!
mtu wa hivi hata thread ifike pages 100!
HACHOMOKI KWENYE HAYO MAHUSIANO MNAYOFIKIRI NI TOXIC KWAKE!