Ndoa yangu ipo ICU !dah

HUYO ANATAKA KULA UJANA GIVE HER A LOT OF SPACE MPE HATA MWAKA.
AKIIJUA THAMANI YAKO ATARUDI SAIVI ANA MTU WANAONANA.

ATAKAPORUDI ANALIA NDO MDA WA KUMFUNZA SOMO.
 
Nionacho mimi, UNAMPENDA SANA MKEO NA UNAMUAMINI SANA!!

Bro in family mwanaume unatakiwa uwe dikteta, mambo ya kumpa uhuru mwanamke atakuonea mpk utaonekana umepewa limbwata. Kumbuka wewe ni kichwa! A head controls the body.

Lazima umuwekee mipaka, issue za kumbembeleza sijui uzungu zungu wa outing ni mlango wa kuharibu ndoa, huko ndo anaenda kujifunza utaahira wa kukudharau.

Yes, ulimpa kipigo ila hakukoma, do u know pychological torture? Hii ndo dawa kwa wamama wasiojielewa.

Halafuuu! We only live once, sasa kwa nini upate stress sijui mateso daily? Set yo things, hakikisha moyo umekuruhusu, chukua watoto, kawalee kwa upendo then ule monde!

Hivi ukiwa unasafiri kwenda Dodoma uko kwa bus umesinzia, mara umeamka unastukia gari ni la Arusha, utaendelea na safari? Mwenye busara anashuka anatafuta la Dom safari inaendelea.

Pole sana, sientertain kuivunja ndoa yako, but ukiona maji yamezidi unga using'ang'anie kunywa uji!

Kumbuka: Asilimia 60 ya ndoa ulimwenguni huishia break-up!
 
Cha msingi achana nae angalia maisha yako na usipokuwa makini ipo siku atakuwekea hata sumu kwani inaonyesha ameishakuchoka
 
Ni ukweli mchungu ila pls usiite uboya, yamkini yalishakukuta ama yanaweza kukufika hata wewe siku moja! Pia kumbuka huyu wa jamaa ni mke sio hawara!
Vyovyote utakavyochukulia.. Nina experience kubwa sana na welfare za mahusiano kitaaluma n.k


Nasema hivi , msimamo wangu ni ule ule. Unapoona dalili za kuumizwa na mwanamke tafuta mikakati ya kujinasua either

1. Kumpiga chini
2. Kuendelea kuwa nae ila potezea na vumilia kila Kitu (Ni wanaume wachache wanaweza hii)


Kinyume na hapo utakufa na kuacha wanao wanateseka bure huku mkeo akiendelea kuliwa uroda na mabazazi. Ifike muda nyeusi tuseme nyeusi tusipake rangi. Wanaume tunajitfutia vifo kwa mikono yetu.



Hakuna maamuzi magumu yasiyokuja na maumivu. Apige moyo konde atapata mtu sahihi. Sio kuendelea kulialia huo sio uanaume. Uanaume ni maamuzi magumu. Maamuzi magumu sio kuruka sarakasi ubungo mpaka chanika pekee. Kuwa imara kwa nyakati kama hizi kunapima "Uanaume" pia.


Please mkuu nikuombe tena kwa Ustawi Wa maisha yako achana na huyo mke kabla hali haijawa mbali. Kama MTU hakutaki anashindwaje kukuwekea hata sumu ?? Angalia hili kwa jicho la tatu. Unaweza kuishi na simba lakini sio Mke au Mme asiekutaka. Ni kujitafutia mabalaa tu.




Najua maumivu anayopitia Mkuu ila siku zote lazima uhalisia Wa mambo ndio uakisi maamuzi. Kama anaona hali anazopitia anaweza kuendelea na Mke wake , namuomba aendelee na Mke wake. Mimi macho na masikio Yangu natega Redion na habari za magazetini.
 
mkuu kuanzia uhusiano wetu yeye ndo alikomaa tuwe serious(kipind hiko alikua anatoka kwenye uhusiano na mimi nilikua nipo nipo tu)nilikua namkwepesha nakuwa nae karibu sana kwasabab nilielewa maybe ni maumivu aliyotokea nayo..basi kiutani utani kweli niliamua kudate nae maana nilikua nampenda pia -nilimpenda awali nikajenga ukaribu nae nilivyogundua anapitia a break up nikapunguza mazoea apite salama ila yeye akazidisha eventually tukadate
Kwenye mahusiano alikua sio mtu wa vizinga
Yani huyu mwanamke hela sio kipaumbele ila ana ujana nahisi hajafanya bado ndo anapigania sana afanye kwa sasa
 
mkuu kuanzia uhusiano wetu yeye ndo alikomaa tuwe serious(kipind hiko alikua anatoka kwenye uhusiano na mimi nilikua nipo nipo tu)nilikua namkwepesha nakuwa nae karibu sana kwasabab nilielewa maybe ni maumivu aliyotokea nayo..basi kiutani utani kweli niliamua kudate nae maana nilikua nampenda pia -nilimpenda awali nikajenga ukaribu nae nilivyogundua anapitia a break up nikapunguza mazoea apite salama ila yeye akazidisha eventually tukadate
Kwenye mahusiano alikua sio mtu wa vizinga
Yani huyu mwanamke hela sio kipaumbele ila ana ujana nahisi hajafanya bado ndo anapigania sana afanye kwa
 
Wakati naoa niliwahi kumwambia aliye mke wangu, tukioanana nisingependa kutokea kuachana. lakini ikatokea tukatengana. "I feel your pain". nakushauri jifunze taratibu kupenda bila kuwa naye.Jua kuwa wewe ndiyo unayependa si vinginevyo.Usijenge hisia za kutompenda kwa sababu ulizozisema kwa kuwa yeye bado ni binadamu na bado safari ni ndefu. Kanuni ya kumpenda adui yako, ukiitafakari na ukaielewa vizuri itakusaidia sana, hasa kwa kuwa una watoto naye.
Jawabu madhubuti ya wana "ndoa" wenye watoto linatakiwa lipatikane ndani yao katika hisia zote (kimwili(body), kiakili(mind) na kiroho(heart)).Ndugu, marafiki na jumuia ni washereheshaji. Fanya hayo kwa ajili ya maono yako na ustawi wa familia na watoto wako.
 
Duuuh kazi kweli. Kila mmoja kwenye maisha ana kanuni zenye kumuongoza. Moja ya kanuni zangu kwenye maisha ni hii,"Sikuzaliwa ili kuwa kero kwa jamii bali fahari kwa jamii". Kwenye mahusiano yako na mkeo wewe tayari ni kero, ili uwe fahari unatakiwa kumuacha. Sehemu ndoa yenu ilipofikia twaweza sema ni "Point of no return".
Hakuna kitu kinauma kama kuona mtu uliemwamini na kujenga msingi wa maisha yako kwake akikusaliti.Ni simanzi, ni majonzi. Mbele hakuendeki, nyuma hakutamaniki.
Ushauri wangu kwako, jambo lolote ili ulishinde ni muhimu kutumia maarifa. Tafuta kitabu kiitwacho," BIKRA YANGU" mwandishi wa kitabu Prvatus Karugendo. Kisome ukiwa umetulia, naamini kitakusaidia.
 
hapo inabidi uamue bila hata kufikiria mangapi mazur mmefanya maana inakoelekea utakuja kujuta zaid kwa kuchelewa leo mkutoa uamuzi huyo sahv roho yake haipo kwako ,, mpe anachotaka na utapona na haya masaibu kuliko kuendelea nae utalia kila siku
 
Mkuu i am a very emotional person yani nasoma hii huku dah...asante sana mkuu
I believe Mungu anasikia sana kilio changu japo ni mtihani huu anataka nifaulu vyema...najijua moyo wangu nikimtupia kisogo sitaweza kumsamehe hata anifufulie wazazi wangu..ndo mana nawaza mda mwingine ila naamini pia ntakua nakosea but niombe Mungu anizidishiwe wepes moyoni
 
Omba waihamishie wodi nyingine hata ya watoto
 
Hakika
 
30 mkuu
Mwenzangu 27
Dah kweli halafu mwanamke wa kupishana nae umri kidogo hivyo ndio huwa wanakuwaga viburi sana! At least umuache 5 years and above wanakuwaga na hali ya kuogopa kufanya ujinga!
 
Ndoa ndoa ndoa......

Tangu Jiwe aingie madarakani watu wanalalamika maisha magumu.

Kawaida kwenye changamoto nyingi ukiweza kuzitatua au kuwa na suluhisho unaweka bei ya kutatua na unapiga hela.

Kuna changamoto nyingi sana kwenye ndoa na sio kila mtu anataka au yuko tayari kuvunja ndoa yake kwa namna moja au nyingine......

Akili yangu inanituma kufanya kitu..... ambao hawajaoa na kuolewa wanatamani ndoa ila kiuhalisia hawatamani ndoa wanatamani harusi ndo maana ndoa inakufa baada ya miaka michache tuu tangu wale kiapo.

Akili yangu imenipotea suluhisho la ndoa, ila kwa kuanza nataka nianze na wanaotamani harusi tuba inaanza kabla hawajafanya kiapo au kufunga ndoa.

Ntaisajili rasmi hiyo huduma na itajulikana kama Kasie Matata Co.

Coming Soon, stay tuned wateja wangu.

Mtoa mada pole umepata nyingi, mie nakufariji tuu...... wapende wanao kama hujawahi kupenda. Nguvu na akili yako ihamie kwa watoto. Tuamia muda wako mwingi kuwa na wanao, wapelekwe shule Fanta nao homework nenda nao mahali pa michezo cheza nao waogeshe walishe kabla ya kulala sema nao asubuhi uwahi kuwaamsha. .... be a unique father..... hutojutia in five years to come. Angalia, usijaribu kuyapet nafasi mawazo ya yawezekana hao watoto si wako. .... hata ikiwa sio kiuhalisia wekeza kwa wanao ndo ulichobakiwa nao.

Kuhusu mkeo sina la kusema.

K' Matata.
 
Pole sana mkuu,unajua haya maswala ya ndoa rite kama watu wangekuwa wanaambia ukweli juu ya faida na hasara watakazokuja kuzipata ktk ndoa am sure watu weng wasingeingia humo..ila tatizo watu wengi nj waongo utasikia wanasema ndoa tamu sana hahahaha tena mwenye ndoa ni ngumu sana kumuadithia matatizo ya ndoa mtu ambaye hayuko ndoani ili tu asimvunje moyo na yy siku moja aingie mkenge hahaha,but nakushauri mtoa mada fanya kile ambacho moyo wako unakutuma kukifanya kwa the betterment ya uhai wako na afya ya watoto wako...hebu fikiria siku ukifa kwa pressure mfano watoto wako watapata tabu kiac gani wakiwa yatima?au unadhani siku ukipata hasira na kumtia visu mkeo watoto wako wataishi maisha gani pale utakapopelekwa jera na mama yao kuwa amekufa?huoni kama endapo utatengana nae basi utajihakikishia uhai zaidi na hivyo ku ensure future bora ya watoto wako na familia yako inayokutegmea hasa wazazi???wanawake ktk mapenz siku zote ni wavumilivu sana kama ni kweli anamapenz ya dhati..but ukiona anafika stage ya kukuambia muachane basi huyo achana nae haraka sana..ameshapata watu wa kumuendesha akili zake..na hapo hutakuja kusikilizwa kwa lolote mpaka atakapozinguliwa huko nje alipoweka mapenz yake.
 
Mkuusalama?
well mimi kama kiongozi wa nyumba yangu najitahid kuwa mkimya sana wakat wa ugomvi na mwenzangu ili niweze msoma anachotaka na awali alilalamika sana umbali na ye hawez hamia dar mpaka atakohamishwa na kapapenda moro...mimi nikafanya maamuz magumu yakuhamia pia mana juu chini garama za nyumba mbili usawa huu ni mkali kuliko moja
 
Hapa ndipo huwa naukumbuka ule uzi unaosema...WALIOOA STD U NA FORM 4 WANA FURAHA KWENYE NDOA ZAO....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…