Anapigwa na watu ambao baadae anakuja kuambiwa kua wana ngoma.mkuu to be honesy kila nikifikiria hii road naumiaga sana na niombe niwe imara kwa hili
Kuna siku nilikuta vyakujipimia ngoma anavyo..niliishiwa pozi kumuuliza nilisubir tupo outing tukiwa tume refresh nikamuuliza angependa tukapime sote maana nilikuta kachukua hatua mwenyew maana sijajua kama either mimi nilisababishia ahofie au yeye tu mwenyewe aliniuliza umeaza lin kupekua vitu vyangu..nikachoka
Jf bwana unaweza kuta wewe huna mke Wala hujawahi oa.Umetoka kujisomea umechoka.Ukatengeneza uzi watu wajishughulishe.Kama kweli hongera kwa uvumilivu.Dah wadau ngoja nipumzike
Mana natype nalia natype nalia
Yan kama mtoto vile
Kwakua nimeanza ku adopt kukubaliana na hali halis baada ya kutiwa moyo na wadauJf bwana unaweza kuta wewe huna mke Wala hujawahi oa.Umetoka kujisomea umechoka.Ukatengeneza uzi watu wajishughulishe.Kama kweli hongera kwa uvumilivu.
MkuuBROTHER POLE SAAANA! NA MUNGU AKUTANGULIE....
NACHOWEZA SEMA JUU YA HILO NI KWAMBA..... UNATAKIWA KUTAMBUA VIZURI NAFASI YAKO NA WAJIBU WAKO KAMA MWANAUME KADRI YA MAAGIZO YA MUNGU....... NAFIKIRI UMEJISHUSHA SANAA KTK HILO.... MWANAMKE WAKO WA NDOA ANAINGIA KTK UASHERATI/UZINZI NA BADO UNAMVUMILIA, ISITOSHE AMESHAKUONESHA KILA ISHARA KUWA HANA HAJA NA WW ILA UNAKOMAA NAE..... WANAWAKE WANA UWEZO MKUBWA WA KUMCONTROL MWANAUME KIMWEMKO AMBAYO NDIO SECTOR KUU YA MAISHA.......NDIO MANA PIA WANAUME TUNAKUFA HARAKA.....
MWANAUME NI KICHWA KWA MAANA YA KIONGOZI, SS UKISHAONA HAYUPO TAYARI TENA KUONGOZWA PAMOJA NA JITIHADA ZA MSINGI BASI UJUE KABISA HUYO SI TAIFA LAKO TENAAA...
USHAURI WANGU:
1)
KAMA UNA IMAN THABITI KABISA KWA MUNGU MUUMBA KILA KITU, STICK IN PRAYERS KWA IMAN KABSAAA NA WALA USIJIHUSISHE NA NJIA ZAKE KABSA..... MPE UHURU ILA ULALE NAE KAMA DADA YAKO AU HAMA CHUMBA....... THEN MAJIBU UTAYAPATA SOON.
2)
ACHANA NAE CHUKUA WANAO LEA BAADA YA KUJADILI JAMBO HLO NA WAZAZ NA WADAU WENGINE WA NDOA YENU ILI UISHI KWA AMAN FROM THERE..........
NOTE:
UVUMILIVU BAADA YA JITIHADA UNA KIKOMO CHAKE...... UKIZIDI UTAKUFA MAPEMA SANA BROTHER.
MAISHA YAKO NA WAJIBU WAKO HAPA DUNIAN KADIRI YA UUMBAJI WA MUNGU NI MUHIMU SANA ZAID YA MTU AU KITU....................................... . SO BROTHER I WISH U ALL THE BEST.
Mkuu ninalia kwasababu i am emotional on my own way1) Mtafute anayekumegea umueleze ukweli kama ataridhia muachie aendeleze gurudumu.
2)kaa kiume usilie lie utapigwa makofi one day .
3) Ita wazazi plus viongozi wa dini msuluishe ikishindikana bwaga manyanga we sio wa kwanza kuachwa
Miaka ya nyuma nilikutana na upuuzi kama huu. Mwanamke ni malaya harafu anamdomo balaa. Mimi sio mnywaji wa pombe lakini siku hiyo, nilikunywa pombe nilivyorudi nyumbani nikachukua begi langu la nguo na hati ya nyumba, nikaondoka zangu.
Ilikuwaje kwako??Mada Kama hizi zinanitonesha kidonda changu...
Ingawa sijaoa, ila niliyo fanyiwa ktk mahusiano yameniumiza saana .
Mungu atuhurumie wanaume,tunapitia nyakati ngumu saana maishani
Mmm mkuu pole sana ila nakushauri kwa manufaa yako ww na watoto wako itisha kikao na cha wazazi pande mbili na kama umeamua kwa moyo wote kumuachamuache huyo mkeo kachanganywa na mambo ya kishua kishua ,pia angalia magonjwa mkuu nakihisi mwaaache aende mungu atakupa mke mwengine
pole sana nduguDah wadau ngoja nipumzike
Mana natype nalia natype nalia
Yan kama mtoto vile
daah kumbe ndoa ilishaga kufa siku nyingi hivi!mkuu to be honesy kila nikifikiria hii road naumiaga sana na niombe niwe imara kwa hili
Kuna siku nilikuta vyakujipimia ngoma anavyo..niliishiwa pozi kumuuliza nilisubir tupo outing tukiwa tume refresh nikamuuliza angependa tukapime sote maana nilikuta kachukua hatua mwenyew maana sijajua kama either mimi nilisababishia ahofie au yeye tu mwenyewe aliniuliza umeaza lin kupekua vitu vyangu..nikachoka
Kama we ni mkiristo kunaa maneno matakatifu yanatukumbusha , MTU asimuache Mke wake ila kwa habari ya uzinzi/uasherati na uchawi, unaweza kumuacha. Binafsi naweza kuvumilia maidhaifu yoyote ya Mke wangu ila suala LA kuzini nje ya ndoa SIWEZI KUMVUMILIA. Pole sana ndugu yangu.
Dah...kikawaida mwanaume mbongo huishi miaka 55 akiwa active....miaka 23 ya mwanzo huwa ni ya kutafuta ujuzi...miaka 7 huwa ya kuchezacheza tu...10 huwa ya kujijenga kiuchumi na kijamii...15 nyingine ya kujiandaa ukichoka....Sasa sijui mwanaume wewe una miaka mingapi?Dah wadau ngoja nipumzike
Mana natype nalia natype nalia
Yan kama mtoto vile