Yaan huo ndo hata siwazi mzeeusiwe unalilia wali wa kwenye sherehe pia mkuu
hahahah noma mkuuYaan huo ndo hata siwazi mzee
MATHAYO 24:12-13.Kweli kabisa nashuhudia mengi huku mtaani ndoa za 2019 kupanda juu zina vurumai sana...nadhani ndo mambo ya maisha ya mitandaoni yamekolea...
Mkuu ukimshirikisha Mungu kwny mipango yako hatokutupa...
Kama walikuwa hawaishi wote, miaka 8 siyo mingi na siyo sababu maana unaweza kuta kwa mwezi wanakutana mara 1. Kwa hiyo kwa mwaka wamekutana mara 12. Kwa miaka 8 ni mara 96 ambazo ni chache sana kumjua mtu.Kijana alianza kujitegemea kitambo binti alikuwa kwao lakini walikuwa wakikutana, huwezi kusema miaka 8 hamjawahi kukutana kimwili!
Trust me.Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize ?
Sawa lia tena🤣head fore head
shida🤣🤣
Hiyo miaka 8 walipata watoto au mwendo wa p2Mkuu harusi yao ilifana, MC kalipwa pesa kibao, Sendoff na mizawadi kibao
Ndoa imefungwa ROMAN CATHOLIC, lakini yote tisa iko chali!!!
Jifunze kureply comment husikaTuambie basi wamedumu miaka mingapi? Wabongo kwa ujuaji
Hello babyNdo ivo
am cryingSawa lia tena🤣
Mkuu vijana wana stress sikuhiz🤣😂😂😂😂 daah mungu tusaidie tuNdoa haijafa ila wametengana , alafu hii story Ina chai sijui kwann nahisi hivyo
tiGo imehusika.Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
"Kwa kadiri bao linavyozidi kuwa zito ndipo linapoongezrka utamu"Nina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag ili kumpongeza kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyuma mbele, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimmwagia maBAO mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
Biashara za kariakoo zisikie hvyo hvyo kuna uchawi pale hatari usione watu wanapesa jaweza kimbia pesa kwa mambo yakeRafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize ?