Ndoa ya Malkia Elizabeth imefikisha miaka 70 leo

Ndoa ya Malkia Elizabeth imefikisha miaka 70 leo

Nijibu kuhusu hilo swali la mwisho kuhusu Diana
Diana aliolewa tu katika nyumba ya kifalme sawa sawa na ilivyo kwa Prince Philip ambaye alioa katika nyumba hiyo; actually sio mwoaji wa kawaida bali alimwoa Malkia mwenyewe na ndio maana hakumbeba kupeleka kwao bali ilibidi yeye (mume) "ahamie".
 
mleta mada ya kwako ina umri gani???????
1947 watu wamependeza kama ndoa imefungwa jana bana
 
Yule alikuwa mkwe wao mke wa zamani wa prince Charles mtoto mkubwa wa hawa vizee ambaye alitarajiwa kurithi kiti.Ila utamu wa Pamela Parker hauku muacha salama taji linaenda kwa William mjukuu mtoto wa kwanza wa Charles na Diana unaye muulizia
Diana si aliuawa?kumbe alikua ashazaa mtoto na charles!!!
 
_98767234_pa-4472984.jpg





View attachment 634455
blogs-aisle-say-queen-elizabeth-wedding-2.jpg


Ilifungwa tarehe 20. November 1947.



images


Picha ya kumbukumbu ya miaka 70 ya ndoa yao leo.
ndoa sio kitu rahisi kina siri nyingi ndani yakee hongera kwa kudumu katika kipindi chote hichoo
 
Yule alikuwa mkwe wao mke wa zamani wa prince Charles mtoto mkubwa wa hawa vizee ambaye alitarajiwa kurithi kiti.Ila utamu wa Pamela Parker hauku muacha salama taji linaenda kwa William mjukuu mtoto wa kwanza wa Charles na Diana unaye muulizia
Camilla Parker Bowels
 
The line of succession
SOVEREIGN
1. The Prince of Wales (Prince Charles)
2. The Duke of Cambridge (Prince William)
3. Prince George of Cambridge
4. Princess Charlotte of Cambridge
5. NEW BABY
6. Prince Henry of Wales (Prince Harry)
7. The Duke of York (Prince Andrew)
8. Princess Beatrice of York
9. Princess Eugenie of York
10. The Earl of Wessex
11. Viscount Severn
12. The Lady Louise Mountbatten-Windsor
13. The Princess Royal
14. Mr. Peter Phillips
15. Miss Savannah Phillips
16. Miss Isla Phillips
Source: www.royal.uk/succession
 

Attachments

  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 62
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 54
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 59
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 53
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 61
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 58
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 59
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 58
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 57
  • upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    upload_2017-11-21_8-55-52.gif
    37 bytes · Views: 59
Hata hivyo yaelekea wanazingatia sana chakula bora na mazoezi

Ni wakubwa kweli kiumri ila mzee amesimama vizuri anaonekana yupo strong na hata mkewe pia.

Hawa yawezekana bado wanaendeleza game vizuri tu.
 
Hata hivyo yaelekea wanazingatia sana chakula bora na mazoezi

Ni wakubwa kweli kiumri ila mzee amesimama vizuri anaonekana yupo strong na hata mkewe pia.

Hawa yawezekana bado wanaendeleza game vizuri tu.
Ni kweli mkuu, katika historia kuna mfalme alikufa akiwa na umri wa miaka 40+, alikuwa mvivu mno, alimwita mjakazi wake kwa kengele ili amsomee saa kwakuwa hakutaka usumbufu.

Alinenepa na kifo chake kilisababishwa na mafuta mengi yaliyoziba mishipa ya damu kwenye moyo.

Tangia hapo mazoezi yamekuwa sehemu ya maisha ya familia ya kifalme.
 
Na walipitia mengi mpaka sasa wajukuu wameoa
Actually hii imeweka record; katika kumbukumbu za Jumba la Kifalme hakuna kumbukumbu zozote za vizazi vinne vya urithi wa kiti cha kifalme kukutana kwa pamoja; yaani kuwa hai kwa wakati mmoja kama ilivyo sasa kwa Queen => Prince Charles => Prince William => Prince George. Taz. picha.

queen.jpg
 
Actually hii imeweka record; katika kumbukumbu za Jumba la Kifalme hakuna kumbukumbu zozote za vizazi vinne vya urithi wa kiti cha kifalme kukutana kwa pamoja; yaani kuwa hai kwa wakati mmoja kama ilivyo sasa kwa Queen => Prince Charles => Prince William => Prince George. Taz. picha.

View attachment 634746
Inapendeza sana mkuu, masikini Prince George haelewi kinachoendelea hapo.
 
Inapendeza sana mkuu, masikini Prince George haelewi kinachoendelea hapo.
Ha ha ha! Hajui mamlaka aliyo nayo kwa taifa lake la Uingereza; mamlaka aliyoyapata sio kwa kuchaguliwa, wala kusomea, wala kwa kampeni, wala kwa ku-apply bali kwa kuwa mzaliwa wa kwanza katika ufalme.
 
Ha ha ha! Hajui mamlaka aliyo nayo kwa taifa lake la Uingereza; mamlaka aliyoyapata sio kwa kuchaguliwa, wala kusomea, wala kwa kampeni, wala kwa ku-apply bali kwa kuwa mzaliwa wa kwanza katika ufalme.
Yah kakini jinsi dunia inavyokwenda inabidi Paige kitabu, hata waingereza hawatataka kutawaliwa na kilaza. Ingawa shule yake itakuwa na unafuu hata hitaji kufanya kazi akiwa mwafunzi
 
Yah kakini jinsi dunia inavyokwenda inabidi Paige kitabu, hata waingereza hawatataka kutawaliwa na kilaza. Ingawa shule yake itakuwa na unafuu hata hitaji kufanya kazi akiwa mwafunzi
Shule iko pale pale na ni compulsory Mkuu. Nilikuwa najaribu tu kuelezea namna alivyopata mamlaka yake; kigezo muhimu ni damu na nafasi yake ya uzaliwa katika familia. In short hakuchagua au hakuchaguliwa kuwa mrithi wa ufalme bali huyo aliyemuumba ndiye aliyemchagua.
 
Shule iko pale pale na ni compulsory Mkuu. Nilikuwa najaribu tu kuelezea namna alivyopata mamlaka yake; kigezo muhimu ni damu na nafasi yake ya uzaliwa katika familia. In short hakuchagua au hakuchaguliwa kuwa mrithi wa ufalme bali huyo aliyemuumba ndiye aliyemchagua.
They say been born with a silver spoon in your mouth.
 
Back
Top Bottom