Aisee! Hawa bado wanajigjig kweli au ndio washasahau
😉😉😀Hiyoo hamu inatoka WAP damu ishakuwa baridi mzee akapiga bao moja kesho mnamkuta ICU akipiga mbili Kesho yake mtasikia BREAKING NEWS
kachezea sana pampu za wandendeule na wangoni pale peramihohivi huyu malkia sio mugabe kweli?
Kweli mkuu at least 77,yaani na wao wana wajukuuDuh! Kweli maisha kiboko; hao watoto wawili hapo mbele kama bado wako hai basi watakuwa at least 77; yaani ni vibibi.
Ahh haaa kweli mkuu?kachezea sana pampu za wandendeule na wangoni pale peramiho
ukiona ndoa zimefika mda mrefu basi tambua watu katika nafsi zao walikubali na kulizia kuishi pamoja kwa jambo lolote.sio wa sasa imekuwa kama kutaka kushika iphone na wewe uonekane tu kwa mda![]()
View attachment 634455![]()
Ilifungwa tarehe 20. November 1947.
![]()
Picha ya kumbukumbu ya miaka 70 ya ndoa yao leo.
Hawa wana kila kituukiona ndoa zimefika mda mrefu basi tambua watu katika nafsi zao walikubali na kulizia kuishi pamoja kwa jambo lolote.sio wa sasa imekuwa kama kutaka kushika iphone na wewe uonekane tu kwa mda
wana kila kitu kipi,hii ndio inafanya ndoa kuvunjika,ndoa kudumu sio kuwa tajiri hata masikini naye.Hawa wana kila kitu
Na yule princess Diana ndio alikua mtoto wa hawa au??
Nijibu kuhusu hilo swali la mwisho kuhusu Dianawana kila kitu kipi,hii ndio inafanya ndoa kuvunjika,ndoa kudumu sio kuwa tajiri hata masikini naye.
vijana au watu wa sikuizi uona kuwa na kila kitu ndo ndoa yako hitadumu sio kweli,unaweza kuwa wa kawaida,fukara,tajiri au kilema kama mkiliziana mtakaa miaka mingi mpaka kifo kitakapo wa kuta.
jibu ni kulizianaNijibu kuhusu hilo swali la mwisho kuhusu Diana