Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Kuna dada ana chnl yake inaitwa Tamtam huwaga anatoa bonus tunaona hata mapaja, fanya kama yeye TCRA hawatakusumbua.
Aisee
Me nimeokoka naenda Mbinguni,
Labda Mungu ahairishe kuwa hatuendi Mbinguni nitaonyesha 😂😂😂
 
Mlokole anatakiwa kuanza mautundu jikoni sijui bafuni kabla ya kiolewa?
Kwanza mkichumbiana si amtakiwi kukaribiana?
Mautundu mengi au viungo kungwi wanaume huja kukulalamikia shoga yangu?
Halafu ndoa hainaga fundi kwakweli, ni kushukuru Mungu ukimpata chaguo lako/lake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

utabinukia nini hicho mpaka mbinguni?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…