Ndoa ya kilokole, jamani mnafeli wapi wapendwa?

Hahahahaha mapambio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hizo kifungu haziendani na Uzi huu we mtoto

Embu naomba tafuta maandiko yaku-back up huu Uzi, usijilipue kama MTU aliechanganyikiwa

Unataka kuisaidia Jamii au kuokosoa Lete risiti zilizoshiba tuchuane
 
Au mnaingiliana nyuma?
.... and the list goes on.

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
Hahahaha bwana usiwaambie wenzio habari ya sodoma na gomora NI dhambi, sio Kwa walokole Tu hata sie wataenda dhambi
 
Leta mstari unaosema estther alikua ana onyesha mapaja kama hayo yako.

Usilazimishe maisha yako yawe ya wengine.. kama wanafurahia ndoa zao wewe inakuhusu nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mpendwa
And who said that's my photo?!
Yani Ur too quick to judge anti, ndio shida ya walokole
Wepesi WA kuhukumu na kusengenya!
 
Kuna vile nampaga za uvinza manzi after every two weeks nakaa wilayani 2hrs ndio naanza kikaoshirikishi basi anapata usngz lala 5hrs+, aliewaumbia kisimi aliwaza sana,
 
Mbona unasakama sana walokole..? Shida yako nini? Si waache wateseke? Mbona wao hawana muda na issue zako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mngekuwa hamna muda na ishu zangu wewe usingekuwa hapa unajidhalilisha na kucomment vitu ambavyo vipo obvious na ulimwengu wote unawafahamu fikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Maskini, uwanja WA shetani umenoga eee?! Unaona usogee sogee labda utahubiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸƒ
Jihubirie kwanza wewe, kabla haujaondoa boriti ya hicho langu, hakikisha kibanzi chako kimekaa Sawa anti
kabanga Bujibuji KENZY Smart911
 
Wewe money penny nikikuona mbinguni , nitagoma kuingia..

Sent using Jamii Forums mobile app
Good, na Mungu ajibu maombi yako ili nikuone unavyoungua kwenye tanuru la Moto kama Kuni.
MY God, kwani hujasoma Biblia umesema Malaya ndio tutaongoza kuingia Mbinguni??πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒπŸƒ

Pia hukusoma aliposema WA mwisho atakuwa WA Kwanza?!

Watch and Learn sister thing! Watch and Learn!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Unamshushua mtu wa watu!

Hao wanaoleta ulokole kwenye mapenzi nawakemea kwa ukali!..
Wanatunyima haki za msingi raha ya Lile tendo kuwa na uhuru wa uwili.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Walokole wanakesi nawewe si bure!
Kuna mkasa upi wamekutenda..?
 
Sasa maney panny hao unao kutana nao si walokole na we mwenyewe sio mlokole.. mlokole gani unaenda disko..

Kama unataka walokole wa kweli njoo church.

Haya unayo yaongea ni uzushi tuu, mbona malaya wanabinua vijno hadi mitaani na hawaolewi ?

Sinawahi sikia malalamiko kwa mwanaume yeyote labda matatizo mengine lakini sio huu uzushi.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo kifungu haziendani na Uzi huu we mtoto

Embu naomba tafuta maandiko yaku-back up huu Uzi, usijilipue kama MTU aliechanganyikiwa

Unataka kuisaidia Jamii au kuokosoa Lete risiti zilizoshiba tuchuane
Hizo lugha za mlima wa moto ni hatari kweli kweli. Anyway, nilikuwa najaribu kuona ni aina gani ya mtu najadili naye. Nitarudi

Sent from my SM-A720F using Tapatalk
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Unamshushua mtu wa watu!

Hao wanaoleta ulokole kwenye mapenzi nawakemea kwa ukali!..
Wanatunyima haki za msingi raha ya Lile tendo kuwa na uhuru wa uwili.
Can I get an Aaaaaaamen, somebody πŸ™
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Walokole wanakesi nawewe si bure!
Kuna mkasa upi wamekutenda..?
Wala, wananitendea wap wakati me maswali Lutheran?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nipo na Askofu wangu, Baba Askofu Malasusa hakuna vurugu kabisa huku kwetu, NI Amani πŸ™
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…