Ndoa ya CCM na CUF ilifanyika lini?

Ndoa ya CCM na CUF ilifanyika lini?

Itendee nafsi yako haki, ongea nafsi yako inaamini ni kweli. Katika hili nina hakika unajua kuwa umechemsha

Ukitaka kujua ni kweli angalia profile yako below; umejiunga humu jana kuchafua hali ya hewa huku ukijua mna hali mbaya.

ANTIBAYOTIKI
user-online.png
Member
Join Date Tue Aug 2010
Posts 42
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power0
 
Hivi nyie Wa TZ nani aliye waloga? Nani aliyewaambia kwamba CCM ndo Mwisho wa kufikiri?
 
Ukitaka kujua ni kweli angalia profile yako below; umejiunga humu jana kuchafua hali ya hewa huku ukijua mna hali mbaya.

ANTIBAYOTIKI
user-online.png
Member
Join Date Tue Aug 2010
Posts 42
Thanks : 0
Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power0

Kuna na dubo na jeykey na wangineo wamefumuka hii August balaa!!! Wachungulie uone wameingia lina hapa!! Bado ni njuka/ndama/protozoa/amoeba/dagaa/ you name all!! Haya ni majina ambayo enzi tukisoma tulikuwa tunaita newcomers wa kidatio cha kwanza!!Utasika we njuka njooo hapa!! Unakimbia kama umefukuzwa na simba!! Karibuni tuendeleze libeneke kwa heshima na taadhima za JF!! Kuna sheria za JF sijui mmezipitia?? Kuna moja inasema post ya kichochezi isiyo na mantiki ......nayo hufutwa na ukiendelea wanakuweka kifungoni!!!
 
Katibu wa CUF keshajiunga na ccm chini ya maelekezo ya makamu mwenyekiti wa ccm. Hivyo kinachosubiriwa ni mwenyekiti wa CUF kumfuata katibu wake. Kwani kikao cha siri cha wenyeviti wa ccm na cuf viliisharipotiwa.
Yaani mleta mada anadhani kura laki sita atakazopata Lipumba ndio zingemwingiza ikulu? Acheni utani hebu sote kwa pamoja tuungane kumleta rais mpya ikulu 2010 Dr Slaa!!

Hata huyo Slaa ni cha mtoto mbele ya JK.Si umesema mwenyewe katibu wa CUF Kisha ona anapoteza muda wake.Hata huyo Slaa yuko njiani very soon utasikia Kumbuka huko ndiko ukweni kwake.Msipoteze muda kumpa kura.Mtajuta
 
Maanae umenena Mimi nafikiri ifike mahali tuanze kuwasusa wote wanaoleta post za kichochezi!
 
Jamani hii JF imevamiwa! Huyu Mwiba Katoka wapi tena....Hawa ndo mamluki hawa!
Nahisi huyu ni kiongozi wa juu kabisa katika kafu kile chama cha zenji aka chama cha dini ile. Ningeweza kumtaja kwa jina lakini sheria inanikataza na naogopa ban:becky: Huwa namwona hapa jf kila ikifika uchaguzi.
 
Kuna na dubo na jeykey na wangineo wamefumuka hii August balaa!!! Wachungulie uone wameingia lina hapa!! Bado ni njuka/ndama/protozoa/amoeba/dagaa/ you name all!! Haya ni majina ambayo enzi tukisoma tulikuwa tunaita newcomers wa kidatio cha kwanza!!Utasika we njuka njooo hapa!! Unakimbia kama umefukuzwa na simba!! Karibuni tuendeleze libeneke kwa heshima na taadhima za JF!! Kuna sheria za JF sijui mmezipitia?? Kuna moja inasema post ya kichochezi isiyo na mantiki ......nayo hufutwa na ukiendelea wanakuweka kifungoni!!!

Mkuu Invisible,

Tuna wageni humu nadhani wanahitaji kujua sheria zetu, na si mbaya wakilipa kidogo ili server zetu tuzihudumie.

dubo, JeyKey, antivairas na wengine!!
 
Kuna na dubo na jeykey na wangineo wamefumuka hii August balaa!!! Wachungulie uone wameingia lina hapa!! Bado ni njuka/ndama/protozoa/amoeba/dagaa/ you name all!! Haya ni majina ambayo enzi tukisoma tulikuwa tunaita newcomers wa kidatio cha kwanza!!Utasika we njuka njooo hapa!! Unakimbia kama umefukuzwa na simba!! Karibuni tuendeleze libeneke kwa heshima na taadhima za JF!! Kuna sheria za JF sijui mmezipitia?? Kuna moja inasema post ya kichochezi isiyo na mantiki ......nayo hufutwa na ukiendelea wanakuweka kifungoni!!!

kaka au dada? na wewe kuna siku moja ulikuwa mgeni katika jukwaa hili la JF na sisi wa zamani tukakushangaa. Je ulipokuwa njuka/ndama/protozoa/amoeba/dagaa/ you name all!! ulijisikiaaaaje?
 
Hata huyo Slaa ni cha mtoto mbele ya JK.Si umesema mwenyewe katibu wa CUF Kisha ona anapoteza muda wake.Hata huyo Slaa yuko njiani very soon utasikia Kumbuka huko ndiko ukweni kwake.Msipoteze muda kumpa kura.Mtajuta

Mkuu Karibu,

Naona tangu March 2008 ulikuwa umepimzika maana post ni kama data inavyooshesha hapa chini. Huu ni wakati muafaka tuliendeleze libeneke. Mimi nimeshahamasisha ndugu zangu na marafiki hadi mitaani kwangu wampigie Dr. Slaa. Hata kama kura hazitatosha kugawana na JK lakini nataka apate kura ambazo ni mwamko, na iwe njia ya kuandaa kuingia Ikulu 2015 Kila kitu kina mwanzo wake. Nataka mpambano mkali, ikiwezekana watoke kwa penalty!!! Na hapo tuanze kuzungumzia serikali ya umoja!

Today 01:44 PM #80
Mwanajamii
user-online.png

Senior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
Join Date Wed Mar 2008
Posts 60
Thanks : 2
Thanked 4 Times in 3 Posts
Rep Power 23
 
Unajua, ukitaka kumwua nyoka unampiga kichwani. CCM itasambararika wakishapoteza nguvu ya dola na nguvu ya dola itapotea pale Kikwete
atakaposhindwa katika uchaguzi. Dr Slaa ndiye tumaini pekee la Tanzania tunayoitaka.


Kikwete ndiye tumaini pekee la Tanzania tunayoitaka
 
Kuna mijitu ina akili za kuvukia barabara tu humu.we need changes as soon as possible.tanzania withiut ccm is possible.
 
Wapenzi wa CCM safari hii hadi mnatia huruma tofauti na mwaka 2005, mngekuwa mnajiamini msingekuwa mnakesha kwenye mitandao kama hivi wakati huu mngekuwa mmelala.
.

kwani JF ni ya mgombea yupi hadi una mashaka na wanaCCM kuwemo humu?
 
kaka au dada? na wewe kuna siku moja ulikuwa mgeni katika jukwaa hili la JF na sisi wa zamani tukakushangaa. Je ulipokuwa njuka/ndama/protozoa/amoeba/dagaa/ you name all!! ulijisikiaaaaje?

Nilijisikia vizuri sana kuwa member hapa. Nikatoa michango yangu bila unafiki kwa kipindi kirefu tu. Na baadaye na mimi nikaanza kuanzisha thread, bado ni chache. Huwa napenda kuchangia zaidi. Ninapenda wageni ila sipendi wageni wasiokuwa na staha na wanafiki ambao wanakuwa wametumwa (vibaraka) wanaolenga kuchafua hali ya hewa. Hata mtoto akizaliwa anapita stages hadi anakuwa mkubwa, nami si mkubwa sana, kuna ambao wako hapa since 2006!!! Hata hivyo, huwezi kuafikiana na kila jambo hapo, ndiyo maana tunakuwa na majibizano, au uchangiaji wa huru. Tatizo langu tu ni pale ambapo unaona kabisa mwanzisha thread hana nia njema kabisa na kinachozungumziwa kwenye thread husika. All ni all tunahitaji wanachama wapya hapa kila siku, ndiyo kukua kwa forum na uhuru wa habari zisizo na uchochezi na matusi. i.e zenye tbs!

 
M

Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa

Hakuna hoja hapo ukiishasema "Slaa ameipa ushindi CCM Na Ametumika" naona unaionea huruma CCM wala huipongezi. As fo Slaa angalia uimara wake hadi CCM waamue wamtumie. Halafu angalia uimara na dhamiri yake katika kusimamia anochokiamini na kukitetea Ambacho ni nchi yetu. Wakristo wanamsemo kuwa Injili itahubiriwa hata na wenye hila. Nakushukuru kwa hilo. CCM toka iasisiwe imekuwa na hila ndiyo maana ina wenyewe.
 
Back
Top Bottom