Ndoa ya CCM na CUF ilifanyika lini?

Ndoa ya CCM na CUF ilifanyika lini?

Hii ndio JF, ndani ya muelekeo mpya na MODs ni kama wamelala. Hivi hii picha si inajulikana ilipigwa kwa tukio gani. Sasa yamekuwa makubaliano ya SIRI. Kazi kweli kweli.
 
Ndoa ni ndoana!! Ndoa hii mhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh? Hata hivyo vibaraka ni wengi?
 
:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.

Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.
 
:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.

Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.

Kwa hiyo mwaka huu mmepanga kuiba 68% ya kula (sorry, kura)?
 
:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.

Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.
Mi nadhani mmechanganyikiwa! Ukisha changanya hisisa za dini na siasa unakuwa umejimaliza, huwezi kumridhisha mtu. Hebu toeni story nzuri zenye kuleta maelewano na si kuleta mkorogano bana!
 
Je yanahusu:

1. Mahakama ya kadhi?
2. Kuingiza Tanzania kwenye nchi za kiislam?

Kwa mwanaCHADEMA aliyekubuhu kama wewe kuanzisha propaganda ya aina hii inaonyesha wazi wapi tunaelekea......

Nawakilisha

omarilyas
 
kikwete+lipumba+seif+1.jpg

Intersting indeed "King of Kings". CHADEMA msije mkajikuta mnamaliza UCHAGUZI huu mkiwapiku CUF kwa lebo ya CHAMA CHA DINI FULANI...Labda mnawaone wivu CUF na "mafanikio yao"

omarilyas
 
Mkuu si suala la udini na sisi hatuko huko (simsemaji wa Mwafrika) hii issue ni kubwa si nyepesi kwa ustawi na maendeleo ya nchi yetu. Tutaweka hapa hold on wakati muafaka. Soma maneno yangu

Ni fikira za UDINI tu ndio zinazodetect mitazamo yenu katika hili.....hakuna kingine
 
:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.

Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.
Mzee Kibiongo! Umezeeka lakini akili zako ni za mtoto wa miaka miwili!!!!
 
Hawa jamaa wa CUF wamekwisha malizwa na CCM we cant trust them anymore, cha ajabu Prof Lipumba anajidhalilisha sana kwani sio mtu makini hata kidogo nadhani mnakumbuka kuwa alijitia kimbelembele kukimbilia ikulu kuhudhulia sherehe za kusaini sheria ya maadili ya uchaguzi bila hata kujua kilichomo pamoja na CUF kuwa na wawakilishi kibao bungeni kutoka zenji ambao hawana tija lakini DR. SLAA akawambua wote JK na Lipumba kwa kuainisha kuwa kulikuwa na vipengele vilivyoingizwa kinyemela bila kujadiliwa na kupitishwa na bunge.

Hawa jamaa wa CUF ni dhahili kabisa hiyo serikali ya mseto na vyeo hewa watakavyopewa vimewafanya wawasaliti wazanzibari waliomwaga DAMU zao kupigania Mageuzi ya kweli na mwenyezi mungu atawalaani vibaya sana na tutawasha moto na nchi itarejeshwa na ikiwezekana hat Gwanda zitavaliwa nchi nzima! CCM ni opportunist sasa wanatumia weakness ya viongozi wa CUF kuendelea kuitafuna nchi kwa group la watu wachache! Wazanzibari wamepigwa bao moja hatari sana, ninachoweza kuwapongeza CUF walifanikiwa zanzibar kutokana na kutumia mbinu za CCM za kuwagawa wazanzibari, wapemba na waunguja! na huku bara wakatumia udini!

Hivyo hatushangai kuwa Lipumba anajua dhahiri kuwa Presidency for him is a longshot! lakini bado ni king'ang'anizi! kama CUF wameweza kufikia makubaliano na CCM chama pinzani na kilichonyanyasa wanachama wao na wengine kupoteza maisha yao, inakuwa vipi Lipumba ashindwe kuona potential za Dr. Slaa? na ku forge coallation ya ushindi? CHADEMA imekuwa na historia nzuri ya ku support vyama vya upinzani na CUF ni chama mojawapo kimewahi na kinaendelea kupata endorsement ya CHADEMA mpaka leo hii kwenye maeneo inapoona haina nguvu ya kutosha.

Tunaomba viungozi wa CUF waache kupuuza sacrifies za watanzania waliokufa wakipigania Haki na kumbe wamekufa kwa ajili ya ULAJI WA VIONGOZI WAO........................................
kumbukeni hamtaishi milele duniani hapa! na adhabu ya betrayers ni.......................................................................................................

Sizitaki mbichi hizi.....Hivi mnajua kama hao wapiganaji wenu huko kwengine mpaka dakika ya mwisho walikuwa wanalobby angalao kuteuliwa ubunge na rais....Hivi mnajua kuwa baadhi ya hao wapiganaji wenu waliwahi kuwa tayari kuhama chama ili wateuliwe Ukuu wa Wilaya na wazee wa chama wakakubaliana nalo....

Acheni huu ujinga wa kukimbilia kuita watu wasaliti mradi tu wameweza kuwalazimu wapinzani wao kukaa chini na kushirikiana katika level sawa. Mtu yeyote anayeona serikali ya mseto Zanzibar ni usaliti wa CUF ni ama hana mapenzi na watu wa Zanzibar ama kwake yeye damu za watu wa Zanzibar kuelendelea kumwagika ndio furaha yake kwa muono kuwa inasaidia maslahi ya "upande" wake.

Walichofanya CUF ni UTHUBUTU WA KIUONGOZI (COURAGE OF LEADERSHIP) wa hali ya juu ambao wale walioamua kukumbatia siasa za ujanjaujanja kama wafanyavyo baadhi yenu hivi sasa kamwe hawawezi kuelewa.
 
Kuna habari ambazo nina wasiwasi nazo ,habari zenyewe ni kuwa Chadema imetumika katika kuiletea ushundi CCM na ni pale Slaa alipopiga U-TURN na kujiingiza katika kinyang'anyiro cha Uraisi ,ikumbukwe kuwa wengi wa wagombea wa vyama vya upinzani walikuwa wameshaamua kutogombea nafasi hiyo ,na wote kuelekeza nguvu zao katika kugombea ubunge.

Hapa tayari Watanzania walikuwa wameshalenga shabaha ya kuiangusha CCM kwa kupeleka nguvu zao kwa Mgombea mmoja tu wa CUF ,Lipumba ,mgombea ambae angeweza kabisa kuilaza CCM kutokana na kura zitakazo miminika kutoka vyama pinzani.

Ingawa wengi hawafahamu kilichomsukuma Slaa kugombea nafasi hiyo ,wenyewe ndani ya Chadema wanadai au yeye mwenyewe Slaa anadai kuwa wamempendekeza, ingawa yeye mwenyewe alikuwa hataki kuingia katika ugombea huo,hizi ni mbinu za kuwateka waTanzania na kuwalaghai kuwa ni mapendekezo ya Chama. Hapa mkae mkielewa kuwa pamechezwa mchezo mkubwa sana na kuwafanya hata wale waliokuwa na msimamo mkali wabaki wakiamini kuwa Chama ndio kimependekeza ,nawaomba mjaribu kuchunguza kwa kina kabisa mtauona ukweli kuwa hapa CCM wametumia karata yao ya kuwa na chama risavu ambacho ni Chadema,huwezi kuamini kirahisi lakini siasa ndivyo zilivyo wanaofahamu ni wachache sana.

Wengi tulishangaa sana na kutaka kujua kilichomsukuma Slaa na sasa imeeleweka kuwa CCM wamemtumia na wameshafanikiwa katika kuwagawa WaTz kwa mara ingine,you must think hard to get the inner core of the Slaa turning factors.

:A S-danger:
 
mkuu signature yako naona unaitekeleza kwa vitendo
 
Mhhh another conspiracies! I beg you to communicate with ur brain before posting rubbishes and worms in the forum!
 
Mhhh another conspiracies! I beg you to communicate with ur brain before posting rubbishes and worms in the forum!
M

Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa
 
M

Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa
mkuu tatizo la upinzani kushindwa haliletwo na slaa pekee... in actual facts, linaletwa na existing system ambayo role inayokuwa played na upinzani ni ndogo mno... kwahiyo kusema ni slaa its a mistake, ni kama kutafuta mchawi tu!!!

one needs to ask, hivi kweli mtu unagombea mpaka watu wanaacha hata kuuliza utatufanyia nini, lakini hukati tamaa?? chadema left z'bar for cuf, but there is not mutual feeling for them in the mainland where prof is getting weaker and weaker

that being said, i still believe hata waungane, with the current set up, ushindi ni ndoto

wajifunze kenya jinsi taifa lilivyopata moto wa maendeleo bada ya kupitisha katiba mpya

hata wachina wa kenya wanamaliza kazi kabla ya muda
 
Kuna habari ambazo nina wasiwasi nazo
Wengi tulishangaa sana na kutaka kujua kilichomsukuma Slaa
Habari za kutunga mwenyewe kwa nini uwe na wasiwasi nazo au wasiwasi kuwa zitagundulika kuwa ni za uongo. Kama ulivyoseama wengi mlishangaa kwa ujio wa Dr. Slaa na bado mtazidi kushangaa atakapoanza kampeni stay tuned.
 
Back
Top Bottom