Ha ha ha,
Hakuna tatizo lolote maana makubaliano ya kanisa katoliki na serikali yalikuwa ya wazi na sio ya siri.
Nilijua utakuja kwa joho hili
Ha ha ha,
Hakuna tatizo lolote maana makubaliano ya kanisa katoliki na serikali yalikuwa ya wazi na sio ya siri.
Arusi? Ndio kitu gani ebu tufahamishe na sisi ili tujue.
:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.
Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.
Mi nadhani mmechanganyikiwa! Ukisha changanya hisisa za dini na siasa unakuwa umejimaliza, huwezi kumridhisha mtu. Hebu toeni story nzuri zenye kuleta maelewano na si kuleta mkorogano bana!:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.
Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.
Je yanahusu:
1. Mahakama ya kadhi?
2. Kuingiza Tanzania kwenye nchi za kiislam?
Mkuu si suala la udini na sisi hatuko huko (simsemaji wa Mwafrika) hii issue ni kubwa si nyepesi kwa ustawi na maendeleo ya nchi yetu. Tutaweka hapa hold on wakati muafaka. Soma maneno yangu
Ni fikira za UDINI tu ndio zinazodetect mitazamo yenu katika hili.....hakuna kingine
Mzee Kibiongo! Umezeeka lakini akili zako ni za mtoto wa miaka miwili!!!!:smile-big: Alaaaaaah, kumbe!!!! Kelele zote za kumuunga mkono Slaa awe next Prezidaa ni suala la ukatoliki. Basi mimi nasema KESHA SHINDWA. Udini wa aina hii haukubaliki TZ. Udini, rangi, ukabila, jinsia nk. visituongoze katika kupata viongozi. Kwa wale wenye itikadi hii, bora mkae kimya kabisa.
Sasa mimi nasema HATUDANGANYIKI kwa ajili ya UKATOLIKI wake. Atapata 32% tu ya kura zote, niko hapa na mtaniambia.
Hawa jamaa wa CUF wamekwisha malizwa na CCM we cant trust them anymore, cha ajabu Prof Lipumba anajidhalilisha sana kwani sio mtu makini hata kidogo nadhani mnakumbuka kuwa alijitia kimbelembele kukimbilia ikulu kuhudhulia sherehe za kusaini sheria ya maadili ya uchaguzi bila hata kujua kilichomo pamoja na CUF kuwa na wawakilishi kibao bungeni kutoka zenji ambao hawana tija lakini DR. SLAA akawambua wote JK na Lipumba kwa kuainisha kuwa kulikuwa na vipengele vilivyoingizwa kinyemela bila kujadiliwa na kupitishwa na bunge.
Hawa jamaa wa CUF ni dhahili kabisa hiyo serikali ya mseto na vyeo hewa watakavyopewa vimewafanya wawasaliti wazanzibari waliomwaga DAMU zao kupigania Mageuzi ya kweli na mwenyezi mungu atawalaani vibaya sana na tutawasha moto na nchi itarejeshwa na ikiwezekana hat Gwanda zitavaliwa nchi nzima! CCM ni opportunist sasa wanatumia weakness ya viongozi wa CUF kuendelea kuitafuna nchi kwa group la watu wachache! Wazanzibari wamepigwa bao moja hatari sana, ninachoweza kuwapongeza CUF walifanikiwa zanzibar kutokana na kutumia mbinu za CCM za kuwagawa wazanzibari, wapemba na waunguja! na huku bara wakatumia udini!
Hivyo hatushangai kuwa Lipumba anajua dhahiri kuwa Presidency for him is a longshot! lakini bado ni king'ang'anizi! kama CUF wameweza kufikia makubaliano na CCM chama pinzani na kilichonyanyasa wanachama wao na wengine kupoteza maisha yao, inakuwa vipi Lipumba ashindwe kuona potential za Dr. Slaa? na ku forge coallation ya ushindi? CHADEMA imekuwa na historia nzuri ya ku support vyama vya upinzani na CUF ni chama mojawapo kimewahi na kinaendelea kupata endorsement ya CHADEMA mpaka leo hii kwenye maeneo inapoona haina nguvu ya kutosha.
Tunaomba viungozi wa CUF waache kupuuza sacrifies za watanzania waliokufa wakipigania Haki na kumbe wamekufa kwa ajili ya ULAJI WA VIONGOZI WAO........................................
kumbukeni hamtaishi milele duniani hapa! na adhabu ya betrayers ni.......................................................................................................
MMhhh another conspiracies! I beg you to communicate with ur brain before posting rubbishes and worms in the forum!
mkuu tatizo la upinzani kushindwa haliletwo na slaa pekee... in actual facts, linaletwa na existing system ambayo role inayokuwa played na upinzani ni ndogo mno... kwahiyo kusema ni slaa its a mistake, ni kama kutafuta mchawi tu!!!M
Mbona unakuwa mkali, jibu hoja kwa hoja Pastor, unapoteza uelekeo au ndiyo dalili ya kulemewa
Habari za kutunga mwenyewe kwa nini uwe na wasiwasi nazo au wasiwasi kuwa zitagundulika kuwa ni za uongo. Kama ulivyoseama wengi mlishangaa kwa ujio wa Dr. Slaa na bado mtazidi kushangaa atakapoanza kampeni stay tuned.Kuna habari ambazo nina wasiwasi nazo
Wengi tulishangaa sana na kutaka kujua kilichomsukuma Slaa