Ndoa ni tamu sana

Ndoa tamu mwanzoni tu baada ya kama 3-4 years MTU anakwambia anataman atoke ...kiukweli mm kama kuna mtihan nmebakiza n huu maana cjui utakuwaje....Hasa wanaume ndio wanaonekana kulia zaid sjui n kwann??
Miaka ya mwanzoni ndoa ni chungu maana mnakuwa bado hamjajuana vizuri..mkiweza kuvuka hiyo miaka mitatu au minne ndoa inakuwa nzuri. Kuna kipindi nilichukia ndoa maana vurugu zilikuwa nyingi mno, hata sasa sijui nilivukaje kile kipindi. Ila now am happy, mume wangu ni kila kitu kwangu...haondoki mtu hapa tutabanana hapa hapa!
 
Mke Wangu alikuwa idara zingine zoote yuko vizuri lakini malaya ni hatari nilimshauri aache tabia hakuweza baadaye aliondoka mwenyewe kuendeleza fani yake nimemwona mahali juzi kanenepa mithili ya mbuyu.
 
Uko sahihi msome Tuckman anasema kitu kama hiki
 
Mnao
Ukijitahid kumfanya mwenza wako rafiki yako michepuko watakaa mbali na mumeo maana muda wote atataka muongozane na muwe pamoja popote
Mnaongozana kwa njia ya simu hali mwenzio yupo kwenye kifua cha mkeo hata kuhema hawezi duh maisha haya
 
Mke Wangu alikuwa idara zingine zoote yuko vizuri lakini malaya ni hatari nilimshauri aache tabia hakuweza baadaye aliondoka mwenyewe kuendeleza fani yake nimemwona mahali juzi kanenepa mithili ya mbuyu.


nimecheka sana jman bas jua hakuwa akikufaa si umeona kachana mkuu!ukute hukuwa ukimridhisha
 
U
Mchepuko ni gharama na kama mwanaume hayuko makini anakupumbuka kujenga kwa hela ya pensheni au asijenge nyumba kabisa.
Ukipata mwanamke mpumb...vu hakuna kitu cha hovyo kama ndoa duniani na mbinguni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…