Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,030
- 71,248
Aiseee mkuuu ukweli utabaki KUA pale ,,Ndoa nitamuuuu sanaaaaa yaaaan nitamu mnooooooi.Wengi hawazungumzi mazuri yanayopatikana huko
Wanaolalamikia ndoa ,ujue kuna mambo wanayafanya ambayo hata Minh hayapendi....
Ndoa aliianzisha Mungu ...Mungu haanzishigi kitu kibaya ktk maisha yetu maana ANATUPENDA KUPITILIZAAA.