Raphael gadau
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 1,007
- 306
Bado nakua mm
Miaka ya mwanzoni ndoa ni chungu maana mnakuwa bado hamjajuana vizuri..mkiweza kuvuka hiyo miaka mitatu au minne ndoa inakuwa nzuri. Kuna kipindi nilichukia ndoa maana vurugu zilikuwa nyingi mno, hata sasa sijui nilivukaje kile kipindi. Ila now am happy, mume wangu ni kila kitu kwangu...haondoki mtu hapa tutabanana hapa hapa!Ndoa tamu mwanzoni tu baada ya kama 3-4 years MTU anakwambia anataman atoke ...kiukweli mm kama kuna mtihan nmebakiza n huu maana cjui utakuwaje....Hasa wanaume ndio wanaonekana kulia zaid sjui n kwann??
Mke Wangu alikuwa idara zingine zoote yuko vizuri lakini malaya ni hatari nilimshauri aache tabia hakuweza baadaye aliondoka mwenyewe kuendeleza fani yake nimemwona mahali juzi kanenepa mithili ya mbuyu.Habari wanakijiji wenzangu, matumaini mko salama kabisa, bila kupoteza muda nielekee kwenye mada
Kumekuwa na wimbi la watu wengi hasa wanandoa kueleza negatives za ndoa kiasi kupelekea wengine kukata tamaa ama kuogopa lakini ngoja niwaelezeni kitu
Ndoa ni tamu sana hasa kama umepata mtu sahihi, kwanza mfanye mke au mume kuwa rafiki yao ambaye unaweza kushare mambo yote yawe ya Furaha au huzuni hii itamfanya mwenzako kuwa huru kushauri lolote kwa kauli nzuri, ikumbukwe hakuna binadamu mkamilifu hivyo mapungufu ya mwenzio chukulia kama kilema sio ndio fimbo ya kumchapia, unaweza kupata mwanamke mrembo lakn kitandani hajui chukulia hiyo ni changamoto na usimuumize kwa sababu ya udhaifu huo utafurahia ndoa yako.
Mwanamke akijua majukumu yake na akaweza kuyatimiza licha ya kuajiriwa, kuheshimiana licha ya kuwa na utofauti wa kipato, kuwe na mipaka mambo ya kazini yaishie kazini uwapo nyumbani lazima familia iwe imara na ndoa itafurahiwa na kila mmoja.
Makwazo hayakosekani, mkikaa pamoja na kuelezana kwa upendo mkiepuka maneno makali ya kuumiza lakini pia kuachilia kwa kusamehe yaliyopita, mtafurahia
Michepuko kwa wanaume husababishwa na mwanamke kutokaa kaa katika nafasi au tamaa tu, kama mwanamke atakaa katika nafasi yake, kupunguza gubu kuna nafasi kubwa kwa mwanaume kutulia au kupata mchepuko mstaarabu ambaye hatavuruga ndoa.
Mungu ni kiongozi mkuu wa ndoa ukiambatana naye katika kila hatua lazima ufurahie ndoa yako wengine watalalamika kuhusu ndoa zao wewe utakuwa unashangaa mambo ya naenda
Mwisho vijana msiogope ndoa, ni tamu sana kama utapata mtu sahihi kama nilivyoeleza hapo juu, usikubali kukatishwa tamaa kwa sababu et ndoa ya fulani inasumbua ukajua na yako itakuwa hivyo nooo, kila mtu amezaliwa kivyake ingekuwa hivyo tungeogopa kusoma eti kisa Fulani amefeli mtihani, Muwe na siku njema.
Uko sahihi msome Tuckman anasema kitu kama hikiMiaka ya mwanzoni ndoa ni chungu maana mnakuwa bado hamjajuana vizuri..mkiweza kuvuka hiyo miaka mitatu au minne ndoa inakuwa nzuri. Kuna kipindi nilichukia ndoa maana vurugu zilikuwa nyingi mno, hata sasa sijui nilivukaje kile kipindi. Ila now am happy, mume wangu ni kila kitu kwangu...haondoki mtu hapa tutabanana hapa hapa!
Kama MimiNdoa tamu na hasa umpate mwanaume Mwenye kujua nini maana ya ndoa.
Mnaongozana kwa njia ya simu hali mwenzio yupo kwenye kifua cha mkeo hata kuhema hawezi duh maisha hayaUkijitahid kumfanya mwenza wako rafiki yako michepuko watakaa mbali na mumeo maana muda wote atataka muongozane na muwe pamoja popote
Hongera SanaKama Mimi
ShukranHongera Sana
Maisha yanachembechembe za furaha na yanamawe ya huzuniAsante ndoa ina raha jamani haswa kama kuna upendo na kuvumilia. Hata kama ikitokea mmepishana sio kukalipiana au kotoleana maneno machafu.
Mke Wangu alikuwa idara zingine zoote yuko vizuri lakini malaya ni hatari nilimshauri aache tabia hakuweza baadaye aliondoka mwenyewe kuendeleza fani yake nimemwona mahali juzi kanenepa mithili ya mbuyu.
Ukipata mwanamke mpumb...vu hakuna kitu cha hovyo kama ndoa duniani na mbinguniMchepuko ni gharama na kama mwanaume hayuko makini anakupumbuka kujenga kwa hela ya pensheni au asijenge nyumba kabisa.
Hata mimi nahisi hakuwa anaridhika si umalaya huo mpaka tigo wanamla jamaa anarudi ananuuuka mavi k yake mpaka basi...nimecheka sana jman bas jua hakuwa akikufaa si umeona kachana mkuu!ukute hukuwa ukimridhisha
Ha
Hata mimi nahisi hakuwa anaridhika si umalaya huo mpaka tigo wanamla jamaa anarudi ananuuuka mavi k yake mpaka basi...
Duh! Umeshawahi kuchepuka?Ndoa ni tamu sana. Na michepuko ni mitamu balaa!
Tatizo ni pale unapogundua mwenzako amechepuka au pale ambapo utafumaniwa
Hapanamhhhh mlizaa ? aiseee dah
YesDuh! Umeshawahi kuchepuka?
Hamna lolote...ya mume wangu tamu zaidi. Basi tu mafeelingssssssvipi tamu?