Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 14,563
- 22,837
- Thread starter
- #61
Usiokote mwanamke mkuu hao unao wazungumzia ni wale wa kuokota haujamfahamu vizuri unakimbilia kuoa kisa mzuriTatizo lipo kwenye malezi tunayoyapata cku hizi. Unakuta mwanamke hamuheshim hata mama yake mzazi, atakuheshim wew mliyekutana chuoni na kuoana?
Bongo saiv kama ulaya. Ndoa magumashi!!