Ndoa ni tamu sana

Ndoa ni tamu sana

Tatizo lipo kwenye malezi tunayoyapata cku hizi. Unakuta mwanamke hamuheshim hata mama yake mzazi, atakuheshim wew mliyekutana chuoni na kuoana?

Bongo saiv kama ulaya. Ndoa magumashi!!
Usiokote mwanamke mkuu hao unao wazungumzia ni wale wa kuokota haujamfahamu vizuri unakimbilia kuoa kisa mzuri
 
Mwanamke ambaye ndugu zake wenyewe hawaheshimu ama kuwajali hafai kwa matumizi ya binadamu, na usitegemee weww atakuheshimu na kukubali hapo tuwe makini tu ndugu zangu wanaume
 
Waliopo wanatamani watoke ambao hawapo hawapo wanatamani waingie


BTW SOMO ZURI SANA MKUU
 
Waliopo wanatamani watoke ambao hawapo hawapo wanatamani waingie


BTW SOMO ZURI SANA MKUU
Hao wanaosema wanatamani kutoka waongo tu wanaishia kusema ila hawatoki, lakini pia mkuu mtu akishindwa biashara ukaenda kumuomba ushauri unafikiri atakuambia kuwa biashara inafaida?
 
Hao wanaosema wanatamani kutoka waongo tu wanaishia kusema ila hawatoki, lakini pia mkuu mtu akishindwa biashara ukaenda kumuomba ushauri unafikiri atakuambia kuwa biashara inafaida?
Mbona ndio hawa kila siku wanalalamika hapa JF mkuu..ndoa si mchezo
 
shida sio kupata mtu...mtu sahihi unampataje..unaweza ukasema huyu ni sahihi kumbe ameficha makucha
Labda nikuulize mwanamke sahihi kwako ni yupi maana vigezo tumetofautiana yakhe
 
Mbona ndio hawa kila siku wanalalamika hapa JF mkuu..ndoa si mchezo
Hao hao ndo wana weka mabango ya kutafuta mke/mume si ndio mkuu, hao wanaosema ndoa hazifai wanaishiaga kusema atalalamika mume kafanya hivi au mke kafanya hivi husikii akileta taarifa kuwa amevunja ndoa yake
 
Hao hao ndo wana weka mabango ya kutafuta mke/mume si ndio mkuu, hao wanaosema ndoa hazifai wanaishiaga kusema atalalamika mume kafanya hivi au mke kafanya hivi husikii akileta taarifa kuwa amevunja ndoa yake
Yeah ni kweli kabisa...ila wengine wanazivunja kimyakimya
 
Ndoa tamu mwanzoni tu baada ya kama 3-4 years MTU anakwambia anataman atoke ...kiukweli mm kama kuna mtihan nmebakiza n huu maana cjui utakuwaje....Hasa wanaume ndio wanaonekana kulia zaid sjui n kwann??
 
Ndoa.. "Kua uyaone mwanangu" sio magorofa Bali n mambo ya ndani..."ukiona nyani mzee porin bas ujue kakwepa mishale mingi" hiyo ndo NDOA.
 
Ndoa ni tamu sana. Na michepuko ni mitamu balaa!
Tatizo ni pale unapogundua mwenzako amechepuka au pale ambapo utafumaniwa
 
Back
Top Bottom