Una maana gani katika hili, hebu fafanua kidogo mkuu hilo la kujua maana ya ndoa? Mme aweje?Ndoa tamu na hasa umpate mwanaume Mwenye kujua nini maana ya ndoa.
Kuna wanawake ila wake/wife hawapo mkuu wachache mno..!Wanawake mbona wako wengi? Takwimu zinaonyesha wanawake ni wengi kuliko wanaume unakosaje hapo? Tafuta wa vigezo vyako kulingana na uwezo wako
Mdogo wako yupo mama..!Umenena vyema. Sijawahi jutia katika hili. Pia inapunguza uzinzi
Mdogo wako anaelewa maana ya ndoa umsogeze huku..Ndoa tamu na hasa umpate mwanaume Mwenye kujua nini maana ya ndoa.
Wachache wanaelewa hili, kuna wanawake wana ukarimu hadi nawaoneaga wivu waume zao. Unakuta wife anampa courage mumewe kwamba asiumie mambo hayajaenda sawa kesho atapata tu.Asante ndoa ina raha jamani haswa kama kuna upendo na kuvumilia. Hata kama ikitokea mmepishana sio kukalipiana au kotoleana maneno machafu.
ajue majukumu ya mwanaume katika ndoa .Yeye kama kichwa cha familia, majukumu kwa mke wake. Sio kutoa tu matumizi useme natimiza wajibu Wangu majukumu ya ndoa ya mwanaume ni zaid ya matumizi kwa mke wake.Una maana gani katika hili, hebu fafanua kidogo mkuu hilo la kujua maana ya ndoa? Mme aweje?
Alhamdulliah wote wako vizur tulianza kupewa Darsa kitambo na wazee wetuMdogo wako anaelewa maana ya ndoa umsogeze huku..
Like me 😛Wachache wanaelewa hili, kuna wanawake wana ukarimu hadi nawaoneaga wivu waume zao. Unakuta wife anampa courage mumewe kwamba asiumie mambo hayajaenda sawa kesho atapata tu.
Hahaha nmeelewa sasaajue majukumu ya mwanaume katika ndoa .Yeye kama kichwa cha familia, majukumu kwa mke wake. Sio kutoa tu matumizi useme natimiza wajibu Wangu majukumu ya ndoa ya mwanaume ni zaid ya matumizi kwa mke wake.
This is very true...Huu ndio upendo sasa unapoanzia!siku zote tukielewa kuwa sisi tu wanadamu...... na tukielewa kuwa usimfanyie mwenzako usichopenda fanyiwa
tukielewa na KUMTEGEMEA MUNGU KAMA KIONGOZI maishani mwetu hakika hakuna litakalo kushinda......
Mbona nimefunuliwa kuwa u wangu, wewe hujafunuliwa tuSante kwa kututia moyo..! Ingekuwa ni possibly kuingia mwenyewe ningeoa leo ila sasa namuoa nani hapo sasa duuh bora nikae tuu kwanza.