Ndoa ngumu jamani

Ndoa ngumu jamani

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,380
Reaction score
56,078
Habarini za jumapili
nna rafiki yAngu km ndugu yangu ameolewa huu ni mwaka wa tano ana watoto 2
ameenda chuo mwaka jana maana na alikosa mkopo mumewe ndo msomeshaji
mume ana wivu hatarii kipnd
yuko likizo mmewe kakuta msg kutoka kwa mwanachuo mwenzie,mume kapaniki mke nae akaja juu badala ya kuomba msamaha
mume akampa option 3 aache chuo afu ajiunge na OPEN this year au aombe ajira za serikali afanye kazi ajisomeshe mwenyewe mana ana stashahada ya ualimu ila alivyomaliza hakuenda gvt alienda private kumfata mmewe
Ya tatu watengane
mme kamkatalia katu kurudi chuo
my friend kaniambia yuko tayari kutengana mana hawezi kumnyenyekea tena
mi nimemwambia endelea kuomba msamaha tu my friend kasema kamuomba ila jamaa hataki
mi sijamshauri kutengana ilA nimemwambia kua mvumilivu yataishA
vyuo wanafungua hv karibuni but still mme amekomaa mdada kanambia yaani hana mda wa kunyenyekea MUNGU mtu tena elimu kwanza...
Mana kashapoteza sana
jamani naombeni mawazo yenu ili huyu dada na mmewe wasiachane tafadhalini
 
samahan ulieleta huu uzi ila sjakuelewa well kua jamaa kakuta message gani ila inaonesha rafiki yako ni kiburi na ndio mana anasema hawezi kumnyenyekea mtu na ndio mana anasema shule kwanza.

Muulize kama anasema shule kwanza then hiyo hela ya ada ataipata wapi kama mme kasema hayuko tayari tena kutoa?Au huyo aliemtumia message ndio katoa ahadi ya kumsomesha?Watu wanakupenda ukiwa nacho ila kikitolewa hautawaona tena.Vijana weng wanapenda wake za watu kwa sabab wanajua mko well financially ila pindi jamaa akikata mirija yote ya hela ndio utamjua huyo kijana wako
 
Rafki yako anakibur tena hana hata akili, mtu anasomeshwa na kakutwa na msg bado analeta jeuri.

Uskute hicho kidume ndio kinampa jeuri ....
...............
Hakuna cha kumshauri mpe go ahead akafaidi anachokitaka
 
Suluhu;-
1. Ajifunze kuheshimu maadaili ya ndoa.
2. Atoe ahadi ya uhakika kutorudia mawasiliano na wa nje ya ndoa.
3. Aweke watoto wao mbele kuliko hiyo elimu.

Mwanaume ni mtu mwenye huruma na busara ataafikiana nae tu. Nawatakia maisha ya masikizano na amani.AMEEN
 
Aendezake chuo kwa ada yake mwenyewe, ila aache uhuni mwambie, au niwewe mkuu unazuga rafiki yako.?
 
Sasa kama kakutwa na message kiburi cha nini? Kwani kujishusha sh ngapi? Angeomba msamaha yaishe...hamna mkate mgumu mbele ya Chai huyo mume angeelewa tu...

Sasa wakitengana ada atalipa nani? Kapewa mkopo au ndo mpango kando?
 
samahan ulieleta huu uzi ila sjakuelewa well kua jamaa kakuta message gani ila inaonesha rafiki yako ni kiburi na ndio mana anasema hawezi kumnyenyekea mtu na ndio mana anasema shule kwanza.

Muulize kama anasema shule kwanza then hiyo hela ya ada ataipata wapi kama mme kasema hayuko tayari tena kutoa?Au huyo aliemtumia message ndio katoa ahadi ya kumsomesha?Watu wanakupenda ukiwa nacho ila kikitolewa hautawaona tena.Vijana weng wanapenda wake za watu kwa sabab wanajua mko well financially ila pindi jamaa akikata mirija yote ya hela ndio utamjua huyo kijana wako

msg ya mwanachuo mwenzie ya utani utani
mi nlimwambia umekosea pale pale ungemuomb msamaha Akadai mi sikujua km atanichenjia
 
Yani kaenda chuo then anapigwa na vitoto huko! au hana uwezo wa kusimama mwenyewe kwny masomo ndo maana anagawa? P.u.m.b.a.v.u zake
 
yaleyaleeeee....
Bora kuoa ka 4m4 kako au darasa la saba .......
Mtu kapelekwa chuo na anasomeshwa lakn kisa tu kadanganywa huko na kajiona anakaelim tayar miba imeota .....
Et haombie tena msamaha kwa Mungu mtu?...... Duh hii kali
 
Tuambie msg ilikuwa inasemaje, mbona unakwepa. ukitaka ushauri weka mambo wazi, yawezekana jamaa kakuta msg ambayo inamsifu mama kwa mautundu yake aliyomfanyia mwanachuo mwenzake!!!
 
tumshauri ili iweje firauni uyo! limechepuka likanogewa linasahau fadhila za mumewe, ndoa na watoto.. jitu lenyewe papuchi used liache liende kuliwa tigo
 
Au hiyo SMS ilikuwa inasemaje..........kwanza tujue ndio tushauri...........

yani watu kwa kujihesabia haki hatujambo!
huyo mume alikuwa anajua anaishi na malaika?
mwanadamu huyu aliyeumbwa kwa nyama ukae ukijiaminisha hawezi kukosea?
Mungu huyu katuumba na tunamkosea,leo wewe mke kumkuta na sms unataka mpk baraza la vyama vya ushirika lisikae?
mxeeeew
watu wa hv hupata shida sana na haya maisha!
mke kakutwa na sms,fine
then,one of ur gateaways kujiridhisha umetoa adhabu ni kutengana?
ehehehehehe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom