Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,656
- Thread starter
- #41
Hutakiwi kuoa kabisaBora kazi aisee
Hutakiwi kuoa kabisaBora kazi aisee
Uko tayari kukaa mbali na mkeo?Kama mimi au sio?
Siko tayari watoto wafanane na mjumbe wa nyumba kumiUko tayari kukaa mbali na mkeo?
Nyakati hizi kuna watu wanatoa mahari kweli?Hapa mtaani kuna jamaa kaiza pikipiki yake apate mahali ya kuoa
Kaja kuniomba nimnunulie bikibiki
Kazi ikiisha hapo inakuwaje?Kazi ndiyo ndoa, hizi za kanisani na bomani ni mbwembwe tu. Kazi ndio msingi wa maisha ila ndoa sio msingi wa maisha. Penda kazi yako, kama ndoa inaleta pingamizi "piga ndoa chini ".
Wafanyakazi ili ndoa iwe na Amani lazima mwanaume awe anajielewa,haendeshwi na mihemko!Siko tayari watoto wafanane na mjumbe wa nyumba kumi
Kwa hiyo akigongewa sawa tu?Wafanyakazi ili ndoa iwe na Amani lazima mwanaume awe anajielewa,haendeshwi na mihemko!
Umaskin tu nduguNyakati hizi kuna watu wanatoa mahari kweli?
Ume ongea ki uchungu Sana, beside ulikuwa below 24 ehh?.Umaskin tu ndugu
Nilitoa mahari, sikutaka wakwe wanung'unike maana huwezi fanikiwa
Unawaza vibaya sanUme ongea ki uchungu Sana, beside ulikuwa below 24 ehh?.
Maana inge kuwa sasa hivi nadhani usinge lipa
Unaota endeleaUmeona kifaa?
ChangamotoKumekuwa na malalamiko ya wanandoa wengi walioajiriwa kuwa mbali na wapenzi wao, ambapo mke/mume anakuwa mbali na mwenzie kutokana na mazingira ya kazi.
Mmoja anaweza kuwa mbali ki wilaya, mkoa au nchi tofauti na mwenzie na kupelekea ugumu wa kuonana mara mara na mwenzake.
Hii imekuwa ikiathiri taasisi ya ndoa na kupelekea upendo kupungua na kuongeza dhambi ya uchepukaji ndani ya ndoa.
Waume wamekuwa wakimaliza hamu zao na kuzaa nje huku pia wake zao nao wakimaliza hamu zao pamoja nakuzaa watoto nje.
Mwisho wa siku ndoa inakuwa na doa.
Sasa tuchague, ndoa ama kazi ipi ni bora?
View attachment 3423245
Sio wanaume wote wanagongewa!Kwa hiyo akigongewa sawa tu?
Vipi lakini ndoa yao si ina amani?Rafiki yangu ni daktari ,mkewe ni mwalimu ..Hapo mwanzoni anamuoa kama miaka 6 nyuma ,alikuwa anasema atanisaidia kiuchumi ila sasa ni balaa mke kapigwa Mbeya ,jamaa yuko Moro.
Kuonana tu anatuma nauli ,au atumie nauli kwenda , ukizingatia wana mtoto 😂😂😂...
Kuna umuhimu wa kuwa na mke/mme?Hela kwanza jombaa, mke ni mdudu gani aisee .
Unaweza ukaoa Mama wa nyumbani halafu ukakutana na shavu la Marekani ,China au Ujerumani .
Piga ya huwezi kuondoka nae na hata ikilazimu hivyo nilazima itachukua muda ili kuukamilisha mchakato wa kumuhamisha .
Kabla hujamuamisha unashangaa wahuni wameshamdonoa na hana tena mzuka wakuja ulipo , tunafanyaje hapo sasa?
Acha aolewe utaoza mwingine au wacha aoe utaolewa na mwingine then case closed.
Conclusion:Mahusiano ya umbali mkubwa yanachangamoto nyingi.