Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,257
- 55,854
- Thread starter
- #61
Kwa hiyo umeolewa na kazi?Weee swali gani hilo!!! kazi kwanza ndoa ipo tu
Kwa hiyo umeolewa na kazi?Weee swali gani hilo!!! kazi kwanza ndoa ipo tu
Amanii itike wapi?Vipi lakini ndoa yao si ina amani?
Ukishakuwa na watoto ndoa inakuwa ya muhimu sana
Unaambiwa chezea mshahara usichezee kazi. Sa wee jichanganye na ndoa zako usiseme hujaambiwaUkishakuwa na watoto ndoa inakuwa ya muhimu sana
Wasikutishe, wale ni waoga tu wa maisha ambao hawataki kulima wala kufuga; unaonaje ukinipatia vipacha viwili huku tukisubiri ndoa?Unaambiwa chezea mshahara usichezee kazi. Sa wee jichanganye na ndoa zako usiseme hujaambiwa
Hata kulima / kufuga ni kazi as long as mkono unaenda kinywani.Wasikutishe, wale ni waoga tu wa maisha ambao hawataki kulima wala kufuga; unaonaje ukinipatia vipacha viwili huku tukisubiri ndoa?
Hata kulima / kufuga ni kazi as long as mkono unaenda kinywani.
Nikuzalie Ili nigundue nini??? Watoto wa Baba chanja wangu wanitosha mi!
Sheeeendwahh! Nina mbegu bora na matratraa sana kiasi kwamba nikifyatua alooooooooooohhh😂😂!Njoo huku shambani tufuge na kulima tuachane na kazi za kuitana mabosi.
Ukizaa huku, utapata mbegu bora kwa sababu ata mkulima na mfugaji hutafuta mbegu bora itakayotoa mavuno ya kuvutia walaji.
Njoo tujaribu, kama usemayo ni ya kweliSheeeendwahh! Nina mbegu bora na matratraa sana kiasi kwamba nikifyatua alooooooooooohhh😂😂!
wee mambo yako ni kukuachia mwenyewe tuNjoo tujaribu, kama usemayo ni ya kweli
ukipata nafasi toraka uje, nitakuandalia milinda, vitumbua na juisi ya parachichi 😀wee mambo yako ni kukuachia mwenyewe tu
Kazi kwanza love wa kuwowa wapo kibao!!!
Huu ushauri ungetolewa na mwanaume ningeuzingatiaUshauri upo hivi ni vizuri mke akiwa mbali kwa maana unaepushwa na madharau napia kwasababu akiwa nakazi kuombwa pesa ni kidogo sana kwanini umuachishe kazi awe anakusumbua
Hii comment mbona imekaa kiukali kali sana.Kazi ndiyo ndoa, hizi za kanisani na bomani ni mbwembwe tu. Kazi ndio msingi wa maisha ila ndoa sio msingi wa maisha. Penda kazi yako, kama ndoa inaleta pingamizi "piga ndoa chini ".
SawaHuu ushauri ungetolewa na mwanaume ningeuzingatia