Ndoa inataka kunishinda

Ndoa inataka kunishinda

Status
Not open for further replies.
Kama alikua sawa kabisa basi kaa naye mzungumze huenda kuna shida inayompa Msongo .


Au ndo ivo....kuahidi kuoa dem ,kisha akamuachaz akaja kwako...sasa kapewa Adhabu.
Possible

Huenda Kuna Nguvu nyuma ya hili, na jamaa anaficha kusema.

Usikute binti uyu kaingilia mahusiano ya watu.
 
Mmmh mbona kama vile kuna kaukasi kidogo!? Miaka miwili mnaangaliana tu? Sio bure kuna kitu nyuma ya hizo stress anazo zisingizia.
 
Kama alikua sawa kabisa basi kaa naye mzungumze huenda kuna shida inayompa Msongo .


Au ndo ivo....kuahidi kuoa dem ,kisha akamuachaz akaja kwako...sasa kapewa Adhabu.
Kuna familia Zina visasi sana,
Jamaa mmoja alienda kujitambulisha kwa watu (nilimsindikiza kabisa), lipa mahali na kila kitu kikakaa sawa.

Baadae jamaa akapata mwanamke mwngine,

Akaenda kulipa mahali na kufunga ndoa na uyu mpya.

Kosa alilofanya Ni kwenda kupasha kiporo na ex wake uyo wa zamani, sijui aliweka Nini kule.

Baada ya hapo kila akienda Kukutana na mkewe ikashindikana (for 3 years)

Wazee wa Mila walisuluhisha ikashindikana,
Suluhisho lilikua ni jamaa kuoa wote wawili.

Of coz jamaa kiuchumi alkua vizur, japokua kidini walimtenga.

Ila baada ya kuwaoa wote wawili,
Tatizo likaisha moja kwa Moja mpk leo hii na anao watoto 3 (wawili bi mkubwa, mmoja bi mdogo).
 
Mpaka nimekuja hapa maombi nimeshahangaika sana na bado naendelea na maombi
Moja ya sababu ya kuomba talaka hiyo ni sababu kubwa.

Kama hakwambii tatizo lake ni nini sasa hiyo ndoa ni ya nini?

Sishauri watu kuachana lakini sex ina nafasi kubwa katika ndoa, kama mwanaume hawezi hilo hata kanisa katoliki wanavunja hiyo ndoa tofauti na watu wanaodanganywa kwamba ndoa ya kanisani inavunjwa mahakamani tu.

Ndoa ya hivyo kanisa kinaivunja bila kupepesa macho, huwezi kuishi na mume khanisi.
 
We Sio Bure, Miaka Mi2 Ya ndoa unawaza Kuchepuka nje.....!
Je Ukifikisha Kumi ya Ndoa si ndio Watakuwa Wamekufirigisa nje mpaka Umechakaa..?
Tatueni hilo tatizo lenu Kwa Upole Mkimtanguliza Mungu......Maombi Kwa Sana ...Hakuna linaloshindikana Kwa Mungu.
 
Iko hivi,kuna uwezekano huyo alikuwa na mtu kabla yako,na akaamua kumuacha kwa ajili yako,sasa yule alieachwa kuna uwezekano kamuendea kwa waganga wamemfunga,na hili kalifanya baada ya kuona posa imetolewa akajua sasa ndio nimeachwa mazima.Msaada mkubwa ni kumpeleka kwenye maombi,kama yuko tayari ili aondolewe hivyo vifungo.Inawezekana kabisa yeye mwenyewe anajua kilichotokea ila anashindwa kukueleza story nzima kwakuwa alikuficha mwanzoni....
 
We Sio Bure, Miaka Mi2 Ya ndoa unawaza Kuchepuka nje.....!
Je Ukifikisha Kumi ya Ndoa si ndio Watakuwa Wamekufirigisa nje mpaka Umechakaa..?
Tatueni hilo tatizo lenu Kwa Upole Mkimtanguliza Mungu......Maombi Kwa Sana ...Hakuna linaloshindikana Kwa Mungu.
Ukiwa nje ya tatizo unaeza jiona mkamilifu na kunyooshea wengine kidole ila ukiwa ndani ya tatizo utaona jinsi unavoteseka kisaikolojia , asante kwa mawazo mazuri ila hayo maneno mengine yamevunja uhekima wa ushaur wako, ila thanks noted
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom