klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Dah! Kamanda wewe bado sana hapo shukuru mungu, mimi wa kwangu ilikuwa unatoka huko umejipinda na hela umekopa umeenda kumnunulia yeye vijimayai na sheesh kebab ukifika unalembewa nazo za uso, halaf anakwambia "umeskia mie mturuki hata unaniletea mashish kebab"?. Ni kawaida sana mkuu.
Na kama uko huku shekoslovakia kikawaida wanakuruhusu kumsindikiza waifu wako labour kama unapenda, sasa Part 2 ni huko labour, ile akimaliza kujifungua tu mara unaweza ukamuona analembea matusi kwako bila sababu na kama pana ma pampers pembeni unalembwa nayo ya uso, unaambiwa ukayavae mwenyewe, halaf unaambiwa unagomewa kupewa kiduku. Lakini baada ya mwezi na nusu tu raha zinarudi pale pale.
Tuliza munkar kamanda ni kawaida sana na wewe bado una afazali sana, mpeleke waifu kazini bana na zingatia kwamba teso lolote la sasa hivi ujue haumtesi mama tu bali pia linampata na mwanao tumboni. Tafakari, chukua hatua.
Nimemaliza
Na kama uko huku shekoslovakia kikawaida wanakuruhusu kumsindikiza waifu wako labour kama unapenda, sasa Part 2 ni huko labour, ile akimaliza kujifungua tu mara unaweza ukamuona analembea matusi kwako bila sababu na kama pana ma pampers pembeni unalembwa nayo ya uso, unaambiwa ukayavae mwenyewe, halaf unaambiwa unagomewa kupewa kiduku. Lakini baada ya mwezi na nusu tu raha zinarudi pale pale.
Tuliza munkar kamanda ni kawaida sana na wewe bado una afazali sana, mpeleke waifu kazini bana na zingatia kwamba teso lolote la sasa hivi ujue haumtesi mama tu bali pia linampata na mwanao tumboni. Tafakari, chukua hatua.
Nimemaliza