NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
Wana Jf,
Nina mke ambaye sasa ni mjamzito wa miezi 8 sasa. Kiukweli tabia yake imenishinda. Ni mtu wa kununa nuna muda wote, sijisikii furaha kuwa nae though ni mke wangu na niliapa kuwa ni yeye tu basi hadi kifo kitutenganishe.
Nimemsomesha na sasa ana kazi yake, mshahara wake siujui na wala sihoji anachofanyia, ndani kuna kila kitu, kazini nampeleka kwa usafiri hadi kituo cha basi (km 5 toka home hadi kituo cha basi).
Mimi nakunywa bia but 1 au2 tu, saa 12 au 1 jioni nipo home.
KISA: juzi jioni nimemuona ana mawazo mengi sana, nikamuuliza kwa upole nini tatizo bibie kasema mhmh maisha magumu. Hakutaka kuendelea kuongea na mimi. Jana nimempeleka kazini namsemesha lakini anaongea kama namlazimisha tu, kifupi hakupenda kuongea nami.
Jioni nimetoka kazini namfuata, ameshukia daladala kituo kingine tofauti na ameamua kutembea kwa mguu hadi home. Hajaongea nami hadi anaamka asubuhi.
Leo nimemuacha atembee kwa mguu kwenda huko kituoni (km 5 hadi kituoni). Nimechukia sana na namuona kero. Najuta kumuoa na nataka nimuache coz sioni kama nina tija naye.
Naombeni ushauri wenu wandugu.
Nina mke ambaye sasa ni mjamzito wa miezi 8 sasa. Kiukweli tabia yake imenishinda. Ni mtu wa kununa nuna muda wote, sijisikii furaha kuwa nae though ni mke wangu na niliapa kuwa ni yeye tu basi hadi kifo kitutenganishe.
Nimemsomesha na sasa ana kazi yake, mshahara wake siujui na wala sihoji anachofanyia, ndani kuna kila kitu, kazini nampeleka kwa usafiri hadi kituo cha basi (km 5 toka home hadi kituo cha basi).
Mimi nakunywa bia but 1 au2 tu, saa 12 au 1 jioni nipo home.
KISA: juzi jioni nimemuona ana mawazo mengi sana, nikamuuliza kwa upole nini tatizo bibie kasema mhmh maisha magumu. Hakutaka kuendelea kuongea na mimi. Jana nimempeleka kazini namsemesha lakini anaongea kama namlazimisha tu, kifupi hakupenda kuongea nami.
Jioni nimetoka kazini namfuata, ameshukia daladala kituo kingine tofauti na ameamua kutembea kwa mguu hadi home. Hajaongea nami hadi anaamka asubuhi.
Leo nimemuacha atembee kwa mguu kwenda huko kituoni (km 5 hadi kituoni). Nimechukia sana na namuona kero. Najuta kumuoa na nataka nimuache coz sioni kama nina tija naye.
Naombeni ushauri wenu wandugu.