NGOSWE.120
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 219
- 233
- Thread starter
- #61
Nashukuru sana wana JF kwa ushauri wenu.
Kwa kweli nimefarijika sana kupata maoni yenu na kwa kweli nimejiona nipo na ndugu zangu ambao kwa kweli wanajua namna gani ya kujenga mahusiano na kuimarisha ndoa za watu kwa michango mbali mbali.
Narudia tena ndugu zangu asanteni sana tena sana.
Nimeyapokea yote na nimehaidi kurudisha moyo nyuma na kumpenda mke wangu kama mwanzo na kumpa stahili zote ili naye hata kama atakuwa amegundua kosa alilofanya basi ajirekebishe.
Jioni amerejea tayari yupo hapa home na nimemuomba tutoke amekubali so baadayeee nitamuuliza kiustarabu tu kuona kama kuna kitu amekwazika basi awe muwazi kwangu ili tumalize tofauti iliyojitokeza ili tuweze kumpokea vema huyo mtoto wetu kama mungu akitusaidia na hatimaye kujifungua salama.
ASANTENI SANA,
JF IDUMU MILELE!
Kwa kweli nimefarijika sana kupata maoni yenu na kwa kweli nimejiona nipo na ndugu zangu ambao kwa kweli wanajua namna gani ya kujenga mahusiano na kuimarisha ndoa za watu kwa michango mbali mbali.
Narudia tena ndugu zangu asanteni sana tena sana.
Nimeyapokea yote na nimehaidi kurudisha moyo nyuma na kumpenda mke wangu kama mwanzo na kumpa stahili zote ili naye hata kama atakuwa amegundua kosa alilofanya basi ajirekebishe.
Jioni amerejea tayari yupo hapa home na nimemuomba tutoke amekubali so baadayeee nitamuuliza kiustarabu tu kuona kama kuna kitu amekwazika basi awe muwazi kwangu ili tumalize tofauti iliyojitokeza ili tuweze kumpokea vema huyo mtoto wetu kama mungu akitusaidia na hatimaye kujifungua salama.
ASANTENI SANA,
JF IDUMU MILELE!