Babuuu, long time no see u!! uko wapi? Karibu kwa Obama bana tule maisha, bills on my side lools, yaani mie nimeinjoy sijapata kero yoyote ila nahisi kiuna kinataka kufa ganzi kwa kukaa muda mrefu looh
mi siringi bana na hiyo mimb siwezi pata siku hz nshaacha huo mchezo nakula life kwa kwenda mbele, karibu kwa Obama.
Hahahahaahaa weweee ngoja akusome looh pokea upako wa kwenda marekani, pokea upako wa kazi, pokea upako wa kupata hela hahahaha chezea mama R wewe mwenyewe anasemaga, ''mbayaaa'' in her tone.... ''if u get free milk why keeping a cow'' mwisho unamuoana akipita kwenye ule wimbo wa oo moyo oomoyoeeeh omoyo onenee enenda sebaa...
nimelaik nikaona haitoshi. Yaani hapa nacheka mpaka machozi. Huwa nabaki mdomo wazi pale napoona watu wazima wakidaka safari toka kwa askofu "pokea safari ya china, pokea safari ya amerikani" halafu watu wazima wanaruka kwa furaha, wanadaka huku wengine hata wakiwa hawana paspoti. Kali kuliko zote ni pale wanapopokea gari, hihihihihihiiiiii,,,pokea funguo funguo za gari lako, ameeeeeeeen! Wanadaka funguo za kufikirika halafu wanaambiwa wawashe gari. Hapo hata kama huna bandama lazma ucheke. Watu wazima wanawasha gari, mkono mmoja umeshika usukani, mwingine unawasha. Wanasema, "chonyonyonyooo" halafu wanaitikia njii njii njii njiiiiii. katikati ya kicheko unashtuka kuwa hili ni janga, unaingiwa na huzuni unahamia chaneli nyingine.
Sipendi kwenda nje kuna ubaguzi sana
Wiki iliyopita alikuwa Bunju B kuzindua tawi la kanisa lake, si unajua sasa hivi ni askofu baada ya kujitoa TAG....Basi shughuli ilikuwa shughulini mbona Bunju B kumeachwa mashimo kwa kutembea kwa kishindo cha Ngi..ngi..ngi..ngi..ngi..ngi.....Hahahahahhaaaaa.. mama huwa ananiacha hoi sana. Apo kwenye wimbo yaani kama namuona vile, nfgoja nivizie hii alhamisi kama sikosei saa tatu tatu sio.
Mkuu upo East London maana yake huko ni kama Afrika tupole sana, basi huko nje kwenu sio pazuri, sisi nje kwetu kuna upepo na miti mizuri kweli.
Wiki iliyopita alikuwa Bunju B kuzindua tawi la kanisa lake, si unajua sasa hivi ni askofu baada ya kujitoa TAG....Basi shughuli ilikuwa shughulini mbona Bunju B kumeachwa mashimo kwa kutembea kwa kishindo cha Ngi..ngi..ngi..ngi..ngi..ngi.....
nimelaik nikaona haitoshi. Yaani hapa nacheka mpaka machozi. Huwa nabaki mdomo wazi pale napoona watu wazima wakidaka safari toka kwa askofu "pokea safari ya china, pokea safari ya amerikani" halafu watu wazima wanaruka kwa furaha, wanadaka huku wengine hata wakiwa hawana paspoti. Kali kuliko zote ni pale wanapopokea gari, hihihihihihiiiiii,,,pokea funguo funguo za gari lako, ameeeeeeeen! Wanadaka funguo za kufikirika halafu wanaambiwa wawashe gari. Hapo hata kama huna bandama lazma ucheke. Watu wazima wanawasha gari, mkono mmoja umeshika usukani, mwingine unawasha. Wanasema, "chonyonyonyooo" halafu wanaitikia njii njii njii njiiiiii. katikati ya kicheko unashtuka kuwa hili ni janga, unaingiwa na huzuni unahamia chaneli nyingine.
Hahaha, Tegeta kibaoni ndo transit yangu ya bodaboda kumalizia safari home...