Ndo mara yangu ya kwanza...!


seriously??.... sounds funny
 
uuuuuwiii mimi dar napasikia...nimezaliwa sitimbi...maisha yangu sitimbi....nikiona lami ntafurahiije...
Kasinde nasubri crush+popo wa obama+wabeba box wape hi

hahahahaaa utatoka siku moja isiyo na jina mradi tuu usikate tamaa, crush na popo wa obama zinaweza tokea nisiusemee moyo looh, wabeba box nimewabebea vumbi la bongo wakumbukege kwao maana wanakula ac za Obama hata wanaona kinyaa kurudi kwao looh
 
Mi nikaja mbio nikijua wabikiriwa kumbe ....
 
Sasa mbona ile picha niliyoomba kwa inbox hujatuma?? I wanna see how real you are.."you know what I'm saying?"..lols

No man, u know I can't send my pic on PM, if u realy wanna see me just look at my profile picture in watsup number 0754 3812.. hizo namba mbili malizia anza na 00, 01, 02, 03, ...... hadi unipate looh thats my real number u know.... only if u get it right.
 
Mara nyingi huwa napenda sana kusafiri na njuka....huwa inanikumbusha safari yangu ya kwanza...!!

Ila safari za kwa Obama zinakera sana!

Babuuu, long time no see u!! uko wapi? Karibu kwa Obama bana tule maisha, bills on my side lools, yaani mie nimeinjoy sijapata kero yoyote ila nahisi kiuna kinataka kufa ganzi kwa kukaa muda mrefu looh
 

hahahahahhaaaaaa laaah!!! mie nimecheka zaidi ya ulivocheka wewe aiseee, hasa ulivosimulia napata taswira ya TV halafu nikafikiri kama ulivofikiri nikaingiwa na huzuni. Its too bad kuwafanya watu wazima kama watoto wa nursery yaani I wonder wakiangalia vipindi wakiwa nyumbani huwa wanajicheka au wanaendelea kupokea kupitia TV looh, sijui hili janga litaisha lini, yaani hawaonea hata huruma watu wale si angeishia kuchukua sadaka zao tuu, yaani sadaka achukue na kuwachezesha kama mwanasesere awachezeshe aaah kweli janga!!!! ila wacha niendelee kucheka hahahahahahahaaaaaaaa aaaha acha kabisa
 

Dreaming is not a criminal offence. Keep dreaming. Who knows, the dream might come true a day you least expect!
 
hahahahaa kuzeeka hapa no, nakula ujana full kujiachia, I can crush but no jig jig looh maana zinazeesha hizo

Jig jig si nzuri usijeekuwa kama daladala kula ujana mamy ila unileteee zawadi mwakani ukirudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…