Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Wenzako wapo mikocheni B wakipokea na kudaka miguu ya kwenda Ulaya. We ulikua wapi best?
Hahahaaa... Kwa wale watakao elewa tu lakini.
Hahahaaa... Kwa wale watakao elewa tu lakini.
Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!