Ndo mara yangu ya kwanza...!

Ndo mara yangu ya kwanza...!

Wenzako wapo mikocheni B wakipokea na kudaka miguu ya kwenda Ulaya. We ulikua wapi best?
Hahahaaa... Kwa wale watakao elewa tu lakini.

Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!
 
Acha uongo mbona mimi nipo kwenye hiyo ndege sasa?
 
Hongera zako bibie...
Mi mwenzio safari zangu ni za Gmboto -mnazi mmoja...Nikipata zali labda nimealikwa Tegeta Kibaoni kwa mtu fudenge humu..!! Kila la heri bidada..!!

Hahahaha nimecheka mpaka bas
 
Heading imenishtua, nikaikurupukia fasta nikajua mshakaji nani huyo amefaidi SEALED ya kiutu uzima
 
Sasa ngoja kila mtu aanze kusema alipo, lol..
....mie nipo hapa kibanda maiti, nilivyokuja na "Flying Horse" nilitapikaje!!
...nikupongeze Kasinde kwa kukwea pipa..

Flying Horse bado ipo tu?
 
Last edited by a moderator:
kuna uzi maalumu wa siku ya kwanza kupanda ndege ungepeleka kule mkuu mods onganisheni huu uzi
 
Kweli mkuu,nje kunafaa kwenda kuokota kilichokupeleka urejee nyumbani.

Nilikuwa na ndugu yangu mmoja tuko kwenye Tube bahati mbaya akafaint dah washenzi wale walikuwa wanatutizama tu.


Just like the old days
 
Nilikuwa na ndugu yangu mmoja tuko kwenye Tube bahati mbaya akafaint dah washenzi wale walikuwa wanatutizama tu.


Just like the old days
Kweli mkuu,ubaguzi upo tena sana,sema watu wakirudi hawataki kusimulia wasiaibike,kuna jamaa yangu
hizi trip za kualikwa kimakundi,yeye familia aliyopangiwa kukaa ilikuwa inambagua kiasi kwamba
mpaka kuoga alikuwa anaandaliwa kwenye bafu ambayo baadaye aligundua walikuwa wanaogeshea mbwa wao.
akalazimisha kuhamishwa.
 
Hivi kwenda marekani ni bahati? yaani linaitwa zali? bado tuna kazi ndefu tu...
Ni kweli ni bahati,kuna mambo ya kupata visa ambayo sometime ni shida,kuna nauli na unaenda kwa nani so ukipata vyote hivyo inakuwa ni bahati kweli maana mtu unakuwa unafanya UTALII hilo ni neno geni kwetu.Hata ulaya na Marekani kuna raia wanatamani kutembelea nchi nyingine ila na wao wanapata changamoto zao so wanafanikiwa wanasema wamebahatika....labda kama kuna hoja tofauti na hiyo
 
Sasa kwa obama kuna states na county chungu nzima? utateremkea wapi? labda uende NY kwa akina Pasco!
 
Back
Top Bottom