Ndo maana wanaume tunakufa haraka imagine Kuna mtu alikuwa haamini Kama uchaguzi upo haamini October tunatiki ndugu yangu unajipa kisukari bure

Ndo maana wanaume tunakufa haraka imagine Kuna mtu alikuwa haamini Kama uchaguzi upo haamini October tunatiki ndugu yangu unajipa kisukari bure

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,652
Reaction score
2,696
Wanaume huwa tuna ubishi wa kitoto sana, huku tunajua kuwa kila kiongoz anaapa kuilinda Katiba ya JMT lakini bado Kuna mwanaume anajidanganya moyoni mwake eti oooh hakuna uchaguzi, oooh form haitachukuliwa Kama ulikuwa na fikra Kama hizi ujue ww ni mgonjwa tayari.

Haya Taifa lipo na slogan ya OCTOBER TUNATIKI ✅ lakini Kuna mtu anabisha lakini anabisha huku juzi hapa alikuwa anaangalia wajumbe watampitisha mbunge wake yupi🤣 🤣 hii ndo falsafa ya TUNATIKI tunaanzia kwenye kura za maoni za madiwani na wabunge tunamalizia kwa Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan hapo OCTOBER

Wanaume tuachane na ubishi usio na mantic ni kuutesa moyo na fikra hasi zinaua kuliko kisukari.
Mimi naamini OCTOBER TUNATIKI na ndo ukweli wenyewe huo.
 
Wanaume huwa tuna ubishi wa kitoto sana, huku tunajua kuwa kila kiongoz anaapa kuilinda Katiba ya JMT lakini bado Kuna mwanaume anajidanganya moyoni mwake eti oooh hakuna uchaguzi, oooh form haitachukuliwa Kama ulikuwa na fikra Kama hizi ujue ww ni mgonjwa tayari.

Haya Taifa lipo na slogan ya OCTOBER TUNATIKI ✅ lakini Kuna mtu anabisha lakini anabisha huku juzi hapa alikuwa anaangalia wajumbe watampitisha mbunge wake yupi🤣 🤣 hii ndo falsafa ya TUNATIKI tunaanzia kwenye kura za maoni za madiwani na wabunge tunamalizia kwa Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan hapo OCTOBER

Wanaume tuachane na ubishi usio na mantic ni kuutesa moyo na fikra hasi zinaua kuliko kisukari.
Mimi naamini OCTOBER TUNATIKI na ndo ukweli wenyewe huo.
Unatombw@ na fisi ,choko wewe
 
NRNE ni hatua tu, ila kuamini October hakuna uchafuzi ni ajabu.

Uchafuzi upo ila tayari watu wengi walau wamekua na ufahamu wa uchafuzi ulivyo wa hovyo.

Na hizi propaganda za huyu kwenda huku huyu kurudi huku ni wazi mwenye akili timamu anaona ni michezo tu.
 
NRNE ni hatua tu, ila kuamini October hakuna uchafuzi ni ajabu.

Uchafuzi upo ila tayari watu wengi walau wamekua na ufahamu wa uchafuzi ulivyo wa hovyo.

Na hizi propaganda za huyu kwenda huku huyu kurudi huku ni wazi mwenye akili timamu anaona ni michezo tu.
Pole sana
 
Back
Top Bottom